Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sijawahi kumkubali Mourinho
Bado Manchester inacheza mpira wa hovyo kabisa
Sioni kama tunaweza kufanikiwa chini ya huyu jamaa
 
Shida kubwa ya united ni ball pocession. Hatuna uwezo mzuri kuwa na mpirab na tukiupata unapotea very easily. Hii ndio shida kubwa. Pia speed. Timing ni kitu muhimu sana.
 
Kwa herrera .... ulivyoni-quote hapo ikabidi nikimbimbilie kule kwenye forum yenu kuhakikisha kama ni wewe ....

Umepotea sana naomba nikupe pole za nyuma kabla ya za leo
Hahaha sasa ni Bailly5 kutoka @Th Name

Asante ndugu yangu. Leo tunashinda aisee.

Maisha tu ndio maana tunapotea kidogo ila hongera kwa kunifungia Chelsea
 
Man u itabidi watafute kocha malaika...binadamu wameishindwa timu mbovu sana
 
Back
Top Bottom