Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Benteke na balotel walikuwa na juhud kinoma mkuu

Gain & lose Ya Benteke ni 50/50 →→ 32m/32m na Baloteli Alinunuliwa Kwa Hela ya Pipi na Kauzwa Kwa Hela Ya Pipi, So what is Your Point bro!
 
Gain & lose Ya Benteke ni 50/50 →→ 32m/32m na Baloteli Alinunuliwa Kwa Hela ya Pipi na Kauzwa Kwa Hela Ya Pipi, So what is Your Point bro!


Kwani walinunuliwa ili wauzwe andy caroll mnanyoosha vidole tu
 
I have never been Maureen's fan...but as long as he is the Boss now, I got to support him...

Game imekataa tu leo braza...yaani nawe unakuwa kama mgeni wa mpira?!? Sioni what's the fuss. Yes, United imefungwa, lakini bado tuna games 5 kwenye kundi...
Tena tatu nyumbani...
Kuhusu mou daah fergie mpaka kesho anamuhusudu pep na si jamaa
 
Rooney atolewe kweli kawekwa nje kichapo bado tumepokea naanza kuona mwendo wa liverpool
 
Zamu ya nani leo! Zamu ya Feneyoord.

Midtyland kapita, Man city kapita.


Hii timu inanichekesha sana.
 
Kweli kila zama na kitabu chake, naangalia mpira lakin nabaki kujiuliza naiangalia Man U au Man fongo
 
Kweli kila zama na kitabu chake, naangalia mpira lakin nabaki kujiuliza naiangalia Man U au Man fongo


Mkuu ni uwekezaji tu kila timu inapiti kipind cha mpito hakuna timu iliyokuwa kali miaka yote jaribu kuangalia vilabu vikubwa baran ulaya madrid alikuwa choka mbaya lyon kamtesa sana bayern mwenyewe kujijenga lazima japo inachukua muda
 
Huwa najiuliza, mbona mzigo wa timu kufanya vibaya anatupiwa Pogba?

Kwenye mechi ya United na City waliofanya vibaya ni wengi ila mzigo wote kwa pogba.
 
Back
Top Bottom