Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Rotterdam imelipuka vibaya vibaya. Mourinho sijui ana gundu huyu.
 
Nadhani kila wakati Mourinho anapotakiwa timu yake icheze entertaining and attacking football anakuwa hana jipya na timu anayofundisha inakuwa hovyo hovyo. Mfano last season Chelsea na msimu huu Man Utd bado inajitafuta ki-identity, ingawaje msimu ndio umeanza lakini sijaona mechi ambayo Manchester United imecheza vizuri pamoja na kushinda mechi kadhaa.
 
Hahahaha Mourinho out itaanza lini? Two defeats back to back...
 
Sad...but it's okay. Calm down [HASHTAG]#RedDevils[/HASHTAG]
14322596_1255032987912656_1916192686843533754_n.jpg
 
Zamu ya nani leoo? Zamu ya feyenoord. Man city kapita bvb kapitaaa watford zamu yake jumapiliii
 
Hii haikubaliki. Haiwezekani Man United afungwe hata kwenye Europa League. Ngoja niende Facebook nikaangalie watu wanavyojua ku- troll.
 
POGBA alinunuliwa kwa dollar ngapi vile? $110M kadhaa au zilikuwa ngapi? Mechi 4 alizocheza ameprove ana thamani ya pesa zilizotumika, Long may it continue hahahahaha
 
Back
Top Bottom