Acha hizo si tulikuwa tunataka mauzo ya jezi kiwango kisikupe shida kwanza bado kinda ujue Ila tuombeeni hahahaaPOGBA alinunuliwa kwa dollar ngapi vile? $110M kadhaa au zilikuwa ngapi? Mechi 4 alizocheza ameprove ana thamani ya pesa zilizotumika, Long may it continue hahahahaha
Timu haina mipango kabisaaaa tunakosa mtu mwenye juhudi binafsi
Huyu jamaa ni fundi sitamdis mpaka pale atakapouzwaKuuza jez haikua kazi yake msitafute kichaka jamani huyu jamaa ni ******
I have never been Maureen's fan...but as long as he is the Boss now, I got to support him...Nzi unamuona kocha wako mbabaishaji? LOL.
Mabingwa wa uholanzi msimu uliopita unawajuaHadi hawa watoto aaaah tumezidi sasa
Mtu Mwenye Juhudi Binafsi Ni Pogba Na Ndomana KawaCost Milions £80+
Mwanzo Wa Hesabu Ni 1, Kumbuka Kabla Ya Kufikia Hizo 5 ni lazima Uanze na 1I have never been Maureen's fan...but as long as he is the Boss now, I got to support him...
Game imekataa tu leo braza...yaani nawe unakuwa kama mgeni wa mpira?!? Sioni what's the fuss. Yes, United imefungwa, lakini bado tuna games 5 kwenye kundi...
I have never been Maureen's fan...but as long as he is the Boss now, I got to support him...
Game imekataa tu leo braza...yaani nawe unakuwa kama mgeni wa mpira?!? Sioni what's the fuss. Yes, United imefungwa, lakini bado tuna games 5 kwenye kundi...
Mwanzo Wa Hesabu Ni 1, Kumbuka Kabla Ya Kufikia Hizo 5 ni lazima Uanze na 1