Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

14370101_629395580565112_5788841086428957410_n.jpg
 
Mkuu ni uwekezaji tu kila timu inapiti kipind cha mpito hakuna timu iliyokuwa kali miaka yote jaribu kuangalia vilabu vikubwa baran ulaya madrid alikuwa choka mbaya lyon kamtesa sana bayern mwenyewe kujijenga lazima japo inachukua muda
Jipe moyo
 
Huwa najiuliza, mbona mzigo wa timu kufanya vibaya anatupiwa Pogba?

Kwenye mechi ya United na City waliofanya vibaya ni wengi ila mzigo wote kwa pogba.
Kwa sababu mlimpigia matarumbeta kama mungu mtu au unajisahaulisha sasa hivi
 
Mkuu ni uwekezaji tu kila timu inapiti kipind cha mpito hakuna timu iliyokuwa kali miaka yote jaribu kuangalia vilabu vikubwa baran ulaya madrid alikuwa choka mbaya lyon kamtesa sana bayern mwenyewe kujijenga lazima japo inachukua muda
 
What a moment for the hosts! It’s great play from Jorgensen, who drives in behind United’s defence before sliding a ball back into the area, with Vilhena on hand to thump home with a low finish! Ha ha ha haaaaa mmeona eee..poleni sana,huyo pogba hawafai,bora mumnunue samatta kuliko pogoba...
 
Huwa najiuliza, mbona mzigo wa timu kufanya vibaya anatupiwa Pogba?

Kwenye mechi ya United na City waliofanya vibaya ni wengi ila mzigo wote kwa pogba.

Kwa Sababu Ni Most Expensive Player Katika Timu Lenu! So, Mchango Wake Katika Timu Unapaswa Ulingane Na Thamani Yake Na Hasa Ukizangatia Kuwa Mulimpigia Debe Sana Kwenye Timu Yenu
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Kwa Sababu Ni Most Expensive Player Katika Timu Lenu! So, Mchango Wake Katika Timu Unapaswa Ulingane Na Thamani Yake Na Hasa Ukizangatia Kuwa Mulimpigia Debe Sana Kwenye Timu Yenu
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
kumpigia debe muhimu ni swala la muda tu........mambo yatakuwa poa.
 
Huwa najiuliza, mbona mzigo wa timu kufanya vibaya anatupiwa Pogba?

Kwenye mechi ya United na City waliofanya vibaya ni wengi ila mzigo wote kwa pogba.
Mim nashangaa sana ila nadiriki kusema yote yanasababishwa na pesa aliyonunuliwa....
Ila Mou anamuamin mpaka kufa namim bado naamin pogba ni fundi hawawez nibadilisha kwa hili
 
What a moment for the hosts! It’s great play from Jorgensen, who drives in behind United’s defence before sliding a ball back into the area, with Vilhena on hand to thump home with a low finish! Ha ha ha haaaaa mmeona eee..poleni sana,huyo pogba hawafai,bora mumnunue samatta kuliko pogoba...
Usitupangie maku wew nenda kwenye jukwaa lako waambie huo upuuzi wako
 
kwa game ya jana mtu mzoefu km swaztger alitakiwa awepo....jose smtmz anatuzingua mtu km bailly,pogba.matrial walitakiwa kupumzika wasubiri watford...then mensah,carrik,young,morgan walitakiwa wapate mda wa kutosha kucheza uropa ila jose ana misimamo yake tofaut then inatucost
 
sasa km pogba na man u ni wabovu nyie ndio mnatakiwa mfurahi sio kuja ktk jukwa letu kulialia tuachieni man u yetu na pogba wetu mbovu nendeni ktk jukwa lenu lenye timu nzuri then siku mkitufunga nyie tutawakaribisha humu.man u amefungwa holland wew wa UK inakuhusu nini??? mnakuja kulialia hapa kumbe mnamuogopa pogba...
 
Hata mityland walijisifu ivi ivi ila kilichowakuta O.T siku iyo walilala na viatu
Mtakuja machinjioni tu maana kwenye ratiba mpo

Waache wamemshika magu t*ko subiri kitachowakuta machinjioni OT
 
Mkuu ni uwekezaji tu kila timu inapiti kipind cha mpito hakuna timu iliyokuwa kali miaka yote jaribu kuangalia vilabu vikubwa baran ulaya madrid alikuwa choka mbaya lyon kamtesa sana bayern mwenyewe kujijenga lazima japo inachukua muda
Kuwekeza kwa Moureen ni kosa kubwa Man U walifanya. Yule ni wa moto wa mabua, hayupo kwa long term na hana impact kwenye uwekezaji wa mda mrefu.

Soon tutasikia "Moureen Out"
 
Back
Top Bottom