Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

FB_20160820_00_08_24_Saved_Picture.jpg
 
Nilichojifunza kwenye mechi ya leo:

Ile fear factor ya Old Trafford inaanza kurudi taratibu.

Mkubwa Fella ( Fellaini )amepiga shughuli flani ya kiutu uzima leo.

Pogba bado hajawa fiti asilimia 100 lakini movement zake ni za hatari tunaomba marefa wamlinde. Baada ya muda mrefu sasa tumepata Box-to-Box Midfielder.

Ni bora Zlatan Mzee kuliko Giroud Kijana.

Eric Bailly ni Nemanja Vidic mpya!!
 
daaaah nnavyoona hii kiungo ya leo inaweza kuwa choice ya morinho hasa kwa filisofi yake ya kuwa solid defence na mashambulizi!!! kwa mpira wa felain hizi mechi mbili kwa kweli ame improve sana.....sina la kuongeza kuhusu pogba kwa kifupi ni kweli alikua mrithi wa scholes na man u walifanya kosa sana kumtoa!! good news is he's back home, he's playing well and he's happy!!!!

#GGMU #fistneverfollow
 
Majirani leo huu mlango umekuwa wa Moto, Tena Moto wa Lava!!!

Nawataka wote waliokuwa wakidai Pogba hana thamani ya £89. Thamani na radha halisi ya Soka aka Football au Kabumbu kwa lugha ya kwetu inaonyeshwa hapa na huyu wana..!!

Kunajamaa alijiuzuru kushabikia Ars, Kafanya uamuzi mzuri, maana wenzake wanajing'oa nyongo. Sasa mlango uko wazi aja apate raha hapa OT

BACK TANGANYIKA
Kwa sasa hakuna anayepiga kelele, Pogba kawanyamazisha
 
Nadhani ifike wakati Martial anakuwa utilized. Huyu jamaa napenda sana awe anatupia. Asiwe kivuli uwanjani.
 
Nilichojifunza kwenye mechi ya leo:

Ile fear factor ya Old Trafford inaanza kurudi taratibu.

Mkubwa Fella ( Fellaini )amepiga shughuli flani ya kiutu uzima leo.

Pogba bado hajawa fiti asilimia 100 lakini movement zake ni za hatari tunaomba marefa wamlinde. Baada ya muda mrefu sasa tumepata Box-to-Box Midfielder.

Ni bora Zlatan Mzee kuliko Giroud Kijana.

Eric Bailly ni Nemanja Vidic mpya!!

inaonekana kurudi kwa sababu unashinda, wanasema ukishinda gemu 3 mfululizo unakua na hari kubwa sana
 
Back
Top Bottom