Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

FB_20160820_00_09_14_Saved_Picture.jpg
 
Nilichojifunza kwenye mechi ya leo:

Ile fear factor ya Old Trafford inaanza kurudi taratibu.

Mkubwa Fella ( Fellaini )amepiga shughuli flani ya kiutu uzima leo.

Pogba bado hajawa fiti asilimia 100 lakini movement zake ni za hatari tunaomba marefa wamlinde. Baada ya muda mrefu sasa tumepata Box-to-Box Midfielder.

Ni bora Zlatan Mzee kuliko Giroud Kijana.

Eric Bailly ni Nemanja Vidic mpya!!
Kijana kweli nimekukuza ki soka
Big up
 
Nilichojifunza kwenye mechi ya leo:

Ile fear factor ya Old Trafford inaanza kurudi taratibu.

Mkubwa Fella ( Fellaini )amepiga shughuli flani ya kiutu uzima leo.

Pogba bado hajawa fiti asilimia 100 lakini movement zake ni za hatari tunaomba marefa wamlinde. Baada ya muda mrefu sasa tumepata Box-to-Box Midfielder.

Ni bora Zlatan Mzee kuliko Giroud Kijana.

Eric Bailly ni Nemanja Vidic mpya!!

Hahaaaaa
 
Hivi jamani mmenote kitu kuhusu fella?jamaa kabadilika sanaaaa....leo alikuwa makini kupita kiasi
jamaa nilijua baada ya kuja mou angeuzwa, cha kushangaza leo tena kawekwa fist 11!!! amecheza vizuri sana kwa kweli....wamemiliki kiungo vizuri pamoja na pogba mtaalamu wa kugawa mipira
 
Dah! Afadhali aisee maana midomo yetu mashabiki wa man ilishaanza kunuka kwa kukosa raha ya mechi, kushangilia na kuzodoa wenzio pia ni sababu ya kupunguza harufu ya mdomo, wacha watupe rahaaa
 
So far mfungaji bora hadi sasa ni Zlatan Ibrahimovich. Akiwa na magoli matatu.
Na timu yenye GD kubwa kupita zote ni Man Utd. +4.
 
Back
Top Bottom