Kijana kweli nimekukuza ki sokaNilichojifunza kwenye mechi ya leo:
Ile fear factor ya Old Trafford inaanza kurudi taratibu.
Mkubwa Fella ( Fellaini )amepiga shughuli flani ya kiutu uzima leo.
Pogba bado hajawa fiti asilimia 100 lakini movement zake ni za hatari tunaomba marefa wamlinde. Baada ya muda mrefu sasa tumepata Box-to-Box Midfielder.
Ni bora Zlatan Mzee kuliko Giroud Kijana.
Eric Bailly ni Nemanja Vidic mpya!!
Nilichojifunza kwenye mechi ya leo:
Ile fear factor ya Old Trafford inaanza kurudi taratibu.
Mkubwa Fella ( Fellaini )amepiga shughuli flani ya kiutu uzima leo.
Pogba bado hajawa fiti asilimia 100 lakini movement zake ni za hatari tunaomba marefa wamlinde. Baada ya muda mrefu sasa tumepata Box-to-Box Midfielder.
Ni bora Zlatan Mzee kuliko Giroud Kijana.
Eric Bailly ni Nemanja Vidic mpya!!
Pale kwenye safu ya ulinzi palikuwa safi, ndio maana De gea ajapokea mipira
jamaa nilijua baada ya kuja mou angeuzwa, cha kushangaza leo tena kawekwa fist 11!!! amecheza vizuri sana kwa kweli....wamemiliki kiungo vizuri pamoja na pogba mtaalamu wa kugawa mipiraHivi jamani mmenote kitu kuhusu fella?jamaa kabadilika sanaaaa....leo alikuwa makini kupita kiasi
akiweka mpira kati kati ya miguu yake huchukui labda mje wanne na refa asiwaone maana akiwaona tu jua kadi inakuhusu

nshakuelewa mkuu na ndio maana akawepo felain akiwa mbele ya akiwa baily!!! all the same, jamaa kacheza vizuri sanahapo kwenye nyekundu usipende kupaongelea sana unapomzungumzia pogba
jamaa nilijua baada ya kuja mou angeuzwa, cha kushangaza leo tena kawekwa fist 11!!! amecheza vizuri sana kwa kweli....wamemiliki kiungo vizuri pamoja na pogba mtaalamu wa kugawa mipira
Huo utosi aliopiga Zlatan, balaa!
yeye ndio ana struggle na ka aseno kake na juzi kati walipigwa
Ameashindwa mwenyewe alipata two clear chanceNadhani ifike wakati Martial anakuwa utilized. Huyu jamaa napenda sana awe anatupia. Asiwe kivuli uwanjani.
kweli kabisa......Fella nlkua namchukia sana ila kwa hizi mechi akiwa chini ya Mou kabadilika sana