Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hivi humu ndani si kuna jukwaa la chelsea arsenal man city liverpool na mengineyo sasa huo ushaur mnaotupa kwa ajili ya man utd c mpeleke kwenye team zenu mkajadiliane sio kila siku mnasajili wazee mara mou ana mipango ya muda mfupi mara pogba doesnt worth that amount....
mna mengi ya kuzungumzia team zenu mtuache tujadil team yetu na jukwaa letu
 
Wacha tuchukiwe kwa mara nyingine, maana tunavyokuwa vizuri ni kuchapa tu, hakuna huruma.
 
hivi humu ndani si kuna jukwaa la chelsea arsenal man city liverpool na mengineyo sasa huo ushaur mnaotupa kwa ajili ya man utd c mpeleke kwenye team zenu mkajadiliane sio kila siku mnasajili wazee mara mou ana mipango ya muda mfupi mara pogba doesnt worth that amount....
mna mengi ya kuzungumzia team zenu mtuache tujadil team yetu na jukwaa letu
Kweli kabisa
 
IMG-20160815-WA0012.jpg
 
Back
Top Bottom