Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

CqETWMcWEAAJKol.jpg
 
Another simple way to tell a girl that you will not marry her is to tell her that... I will marry u when arsenal takes EPL..

By Robert Mugabe


Na hili tena la kumnanga Wenger? Kweli huyu jama Robert Mugabe ni kichwa...[Nimekosa ka-emoji ka kucheka...]
 
ERICKY BAILLY aka KUNTAKINTEE hii beki inayotumia akili, nguvu, skills na umakini wa hali ya juu kabisa nazidi kumkubali sana, mourihno naye amezidi kumwagia sifa za kutosha, hata kwa upande wangu vidic na rio naona kama gap lao limezibwa ipasavyo,
 
Inasemekana huyu kuntakintee aka Ericky Bailly alipata majeraha kwenye mchezo dhidi ya Leicester, lakini alisema hakuna shida na kucheza dakika zote 90. Halafu siku iliyofuata alishindwa kufanya mazoezi kwa kuwa na maumivu makali, unaambiwa baada ya hapo bado game la bournemouth alicheza,

Mourinho aliwaambia wanahabari baada ya ushindi wa 3-1 kwenye mchezo wa ufunguzi dhidi ya Bournemouth bado alifanya mazoezi tena kwa mara ya kwanza Ijumaa. Wiki nzima hakufanya na wenzake kwasababu ya tatizo lake hilo, Mourinho amekiri kuwa tumekuwa tuna bahati kuwa naye Ericky aka KUNTAKINTEE
 
Pogba wll play few minutes on friday (mourhino words)...timu imesheni mafundi kwa sasa.Ibramovic mfungaji bora ufaransa(league one)henrink Mikityrahn best assist bundesliga,Paul bogba best assist seria A, Baily hana shda shughuli yake inaonekana...ila nsikia tetesi Blind anataka kuuzwa Jamaa angeachwa kbsa kwani ni kiraka wa kweli 3,6,4,5 sijui golikipa kote anapga.
 
Back
Top Bottom