radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Ok, maneno yako tunayaifadhi.hivi kweli??! viera na zizuu unawafananisha na huyo Pogba?? wakati hajafikia hata nusu ya kiungo wa kauzu fc ...........
mtufunge kwa kocha gani?! huyo saa mbovu" msimu unaokuja mkitufunga nitatembea uchi kuanzia ubungo mpaka posta.
Dimaria ilikua hivi hivi watu wasahaulifu kweli kweli
Mi nawapa pole hawawezi kurudi yena kileleni mourinho sio kocha wa kuwarudisha kileleniSince SAF aondoke mnatumia pesa kama vile dunia itakwisha leo. Vijana pia huwa mnajipa matumaini ya kurudi kileleni mwishoni mnaangukia pua. Huyu dogo anaweza kuwa kama Di Maria aliyenunuliwa kwa pesa nyingi akashindwa ku-shine mwishowe akauzwa kwa hasara. Big transfer players huwa wanakuja na big egos, I hope his egos and Mourinho's wont crash.
Tunakusubiri december hapo si mbaliMkuu hata SAF alikuwa ana sajili kwa pesa nyngi pia
Halaf mambo yamebadilika kama sterling aliuzwa ja £50 milion
Pogba auzweje!!?
Ndio maana anayejali bei mzee wenger hanunui kabsa (ndo suluhisho hilo kama hutaki ku spend)
Halafu poga mpaka mwakani pesa ya mauzo ya jezi tuu utakuwa isha rudisha faida
Ndo mpira usha badilika hvo, na tuna badilika nao
Footbal talent Derivery matter Ata uwe na miaka 50 lakin pogiba hamna kitu paleKwanza itabidi ujitoe ufahamu ukitaka kuongea/kubishana na mashabiki wa arsenal masuala ya transfers, hasa ukija upande ya ada za uhamisho, wanachoamini wenyewe na mzee wao wenger ni kwamba CL bado inamata kumshawishi mchezaji kujiunga na club flani wamesahau mpira wa sasa ni pesa.
Higuain miaka 28 kwenda juve kwa £75mill its ok but pogba miaka 23 kwenda utd kwa £89 mill is overpriced and overrated.
No wonder wanasajili akina takuma.
Kuna watu wanashangaza miaka kumi licha ya vikombe hata vijiko hawajachukua ila kelele nyingi mwaka huu watashika adabu zao glory man u.Mtaongea yote mwaka huu......
Hahaha mnajipa moyo sanaKuna watu wanashangaza miaka kumi licha ya vikombe hata vijiko hawajachukua ila kelele nyingi mwaka huu watashika adabu zao glory man u.
Maneno ya haki haya myastahmil tu hamna namna.Hahaha mnajipa moyo sana
Whats good about man united fans ni kiu ya mafanikio ya pupa iyo itawatesa sana sio leo walA kesho ni years of shauku poleniManeno ya haki haya myastahmil tu hamna namna.
Wanaweweseka sana.....na bado.Kuna watu wanashangaza miaka kumi licha ya vikombe hata vijiko hawajachukua ila kelele nyingi mwaka huu watashika adabu zao glory man u.
Hawaweweseki wanawaonea huruma mnavyoitaji immedietly care unit(icu) ndo nPoshangaaWanaweweseka sana.....na bado.
Ahsante kwa kutupa pole lakini timu hii kipaumbele chake ni mafanikio ndo maana ni Liverpool ndo wamechukua UCL mara nyingi zaidi yetu ila tizama vikombe vingine vyote tunaongoza sisi.Whats good about man united fans ni kiu ya mafanikio ya pupa iyo itawatesa sana sio leo walA kesho ni years of shauku poleni
Kwa sasa mnafanya nini recover?? Au immedietly recovery kama ya LVGAhsante kwa kutupa pole lakini timu hii kipaumbele chake ni mafanikio ndo maana ni Liverpool ndo wamechukua UCL mara nyingi zaidi yetu ila tizama vikombe vingine vyote tunaongoza sisi.

We spend tunachokiingiza, kuna makampuni 69 wenye mikataba na utd. Sasa ulitegemea hzo hela wanazozalisha wakazifanyie nn kama siyo kuimarisha timu?Kwa sasa mnafanya nini recover?? Au immedietly recovery kama ya LVG![]()
![]()
![]()




Mi nawapa pole hawawezi kurudi yena kileleni mourinho sio kocha wa kuwarudisha kileleni
Ligi ndo inaanza ustahmilivu ndo unatakiwa mtakuwa mnapita kimya kimya tulikuwa na LVG na kiasi tulikuwa tuna perform vizuri sasa tumeongeza watu na kocha pia hapo chemistry tu ikikolea shughuli mnayo.Kwa sasa mnafanya nini recover?? Au immedietly recovery kama ya LVG![]()
![]()
![]()