Kumbe hujaelewa ata... Kwasasa man u inachotafuta ni immediate recovery si vinginevyo kocha kama jurgen Klopp ndio alifaa haswa kua kocha wa man u kwa long term plan sio mourihno atakae wapotezea taswira mwisho muishie kumtukana kua oooh Mara much knowing kama Kawaida yenyewe Mtaomba afukuzwe N ndicho kitakachotokea, Yani pale wamiliki wanaangalia delivery ya biashara zao kama itaendekea kufanya vibaya mambo yatakua ovyo na mbaya zaidi wazungu hasa uingereza katika michezo unaposema umemleta kocha flani,au mshambuliaji flani inaleta nguvu na matumaini ya kwa washabiki kama nyie lakini kiukweli kabisa kimpila mou kwa sasa yuko kwenye depresion msitegemee kama atawafikisha mahali kokote .