Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1470920823755.jpg
 
Usajili wa Pogba umewauma sana wapinzani.

Wakati yupo Juventus walikuwa wanamconsider kama bonge la mchezaji. Leo katua OT wanamuona wakawaida.

Kama mnasahasira sana kunyeni matikiti.


eti leo kageuka kiungo wa kauzu fc manchester united imeongeza idadi ya maadui zaid ya sir alex sasa ni mourinho halafu na top playera aliowadaka huwezi ukapendwa wakat jirani anahangaika na bony wewe una pogba inafaa awapige kisawasawa mana tukipigwa tutatafuta sehemu ya kujificha kwa hali ilivyo kila game kwa man utd ni fainali.
 
Kinachonipa moyo ni winning mentality ya Mourinho.....kila game ni must win game, sio LVG hata game muhimu mnaelekea kuipoteza hafanyi chochote anabaki kuandikandika tu!
Ni kweli Mourinho ana winning mentality, lakini sio mzuri kwa long term investment. Atawapa vikombe msimu huu, hilo halina ubishi lakini next season mtalia tu kama sisi.
 
Ni kweli Mourinho ana winning mentality, lakini sio mzuri kwa long term investment. Atawapa vikombe msimu huu, hilo halina ubishi lakini next season mtalia tu kama sisi.
Ok lets wait and see.....dont forget this is Man unt.
 
Back
Top Bottom