Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Usisahau Wenger hajawahi kumfunga Mourinho
Wenger kamshindwa hadi Moyes?
Usisahau Wenger hajawahi kumfunga Mourinho
Wanafwata Everton..... Mechi ya wayne rooney
Mkuu asante sana kwa kuliona hilo piga ua lazima Rooney aanzeHuyu ni mchezaji ambae man u haitakiwi kumkosa uwanjani..uwepo wake tu unawapa nguvu wengine..






Zlatan Ibrahimovic
WengeWenger ndo nani![]()
Lazima uizungumzie United ili upate attentionMatokeo mazuri.
Wako wapi waliokuwa wanamtukana Zlatan?
Amekuja bure ila atatupa matokeo mazuri mara kwa mara.