Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mi ni shabik Wa man u
Ila binafs sijamkubal pogba na sion kama pogba anaweza kuwa msaada pale ot
Sijaona cha muhm alichokifanya cha kutisha mpaka kununuliwa kwa kias kikubwa hivo
Ni bora matuid angeweza kuwa na msaada mkubwa sana kulko pogba
Pia kwa stayl ya mou
Matuid alikuwa ni bora zaid ya pogba
Ni mtazamo tu
Mimi naamini anaweza kufanya kitu kokubwa sn pale OT ila siungi mkono gharama yake asee. Hyo pesa ni nying sn,na mchezaj wa gharama hyo anatakiwa awe too exceptional kitu ambacho ckioni sn kwa Paul
 
Ila to be honest simpendagi kiiivyoooo yaani nikimuangalia sijui kwanini namfananisha na Balotelli...
Ha ha ha ana caliber flani za Baloteli. Ana mambo flan ya kiboss sn. Ila kazi anaipiga jamani na endapo tutampata ataibadili sn middle yaan U.
 
natamani nilione hilo 'booonge la mtusiiii' maana sitakuripoti kwa mods tutayamaliza wenyewe

Balo mkali saa hizi ana-focus na balloon d'Or siyo na mambo ya kijinga
Hahahhahha utapofukaaaaa na masikio yataziba ....

Nyagema Balloteli mmemuharibia future Yake kabisa siyo fresh.....tena Wewe nitaenda kule kwenu nifukunyue post zako ulizokuwa unamponda
 
1469145594435.jpg
 
Mimi naamini anaweza kufanya kitu kokubwa sn pale OT ila siungi mkono gharama yake asee. Hyo pesa ni nying sn,na mchezaj wa gharama hyo anatakiwa awe too exceptional kitu ambacho ckioni sn kwa Paul


Unalalamika hizo pesa ni nyingi kwani zinatoka mfukoni mwako? Kulalamikia gharama wakati uchangii hata buku ni kujitia stress bila sababu.
 
Unalalamika hizo pesa ni nyingi kwani zinatoka mfukoni mwako? Kulalamikia gharama wakati uchangii hata buku ni kujitia stress bila sababu.

Ukute huyo mtu hajawahi hata kununua jezi original toka Man Utd. Ukiangalia ule umri na potential yake ile hela inarudi ndani ya muda mfupi sana.
Ronaldo alivunja rekodi ya usajili, kila mtu alisema ni hela nyingi lakini sasa Madrid wamerudisha hela yao na faida juu. Tulimchukua DiMaria kwa pesa ndefu kila mtu alisema hivyo, hatukufilisika na faida tukatengeneza.
Na wasijue Utd ni timu kubwa sana duniani hiyo hela ni kama Mengi anaenda kununua gari yard.
Pia, mauzo ya tshirt msimu uliopita tuliongoza pamoja na kuwa na magarasa na kuwa nje ya top 4. Sasa mwaka huu tuna Zlatan, Makhtaryan, Rooney, Martial nk si tutawafunika?
Hela sio nyingi hiyo.
 
Ukute huyo mtu hajawahi hata kununua jezi original toka Man Utd. Ukiangalia ule umri na potential yake ile hela inarudi ndani ya muda mfupi sana.
Ronaldo alivunja rekodi ya usajili, kila mtu alisema ni hela nyingi lakini sasa Madrid wamerudisha hela yao na faida juu. Tulimchukua DiMaria kwa pesa ndefu kila mtu alisema hivyo, hatukufilisika na faida tukatengeneza.
Na wasijue Utd ni timu kubwa sana duniani hiyo hela ni kama Mengi anaenda kununua gari yard.
Pia, mauzo ya tshirt msimu uliopita tuliongoza pamoja na kuwa na magarasa na kuwa nje ya top 4. Sasa mwaka huu tuna Zlatan, Makhtaryan, Rooney, Martial nk si tutawafunika?
Hela sio nyingi hiyo.
Hao ni wivu tu unawasumbua.....wanamtamani angetua kwenye timu yao.
 
Back
Top Bottom