Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tuna Morgan, alafu jamaa ana 29 wakati pogba ana 22, ( zlatan & bastian tumewasajili na umri mkubwa sababu za kibiashara)

Sina maana kwamba jamaa sio mzuri, ni mzuri ndio but sidhani kama itakua ni massive improvement kwenye mido yetu pia tunahitaji mchezaji ambaye ni more creative dan him.
Ni kweli mkuu uko sahihi kabisa tusubir tuone kitakachoendelea
 
Swal ni je pogba anaweza itendea hak kias alichoigarm tm?
Na na je pesa alonunuliwa pogba inafanana na kiwango chake?
Duhh sijui nikujibuje ila ndo hivyo si unajua tena shati lile lile kko ni 10,000 ukienda mliman city ni 70,000......sema si mkali kihivyo ila ana unique zake.
 
Ila to be honest simpendagi kiiivyoooo yaani nikimuangalia sijui kwanini namfananisha na Balotelli...
Wamefanana wote wananyoa viduku. Huyu pogba sio kwamba hajui la hasha sema hiyo hela ya kumnunua ni kubwa ingawa hatutoi sisi. Hahaha ngoja tuone kama atanunulia
 
All the best Shaw.....

@LukeShaw23: "I'm looking forward, not back. My leg feels great. I want to push on and get fully fit." #MUTOUR

Shaw on Jose: "I'm enjoying working with him. We're going to challenge for every title. It's a fresh start & we're feeling good." #MUTOUR
1469110963203.jpg
 
All the best Shaw.....

@LukeShaw23: "I'm looking forward, not back. My leg feels great. I want to push on and get fully fit." #MUTOUR

Shaw on Jose: "I'm enjoying working with him. We're going to challenge for every title. It's a fresh start & we're feeling good." #MUTOURView attachment 368827
Vipi kwemaa???
Ukiamua kupotea huwa unapotea jumla, welcome back
 
Back
Top Bottom