mtr96
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 247
- 200
Ni kweli mkuu uko sahihi kabisa tusubir tuone kitakachoendeleaTuna Morgan, alafu jamaa ana 29 wakati pogba ana 22, ( zlatan & bastian tumewasajili na umri mkubwa sababu za kibiashara)
Sina maana kwamba jamaa sio mzuri, ni mzuri ndio but sidhani kama itakua ni massive improvement kwenye mido yetu pia tunahitaji mchezaji ambaye ni more creative dan him.
