Nasikia mzee wa "sell or send them on loans" ameanza kupanga mikakati ya kukopesha kina James Wilson, Brackett, Rashford, Martial " the next Macheda", kuuza kina Mata, Rojo, Morgan.. mtaisoma namba.
Bracket alikua kwa mkopo celtic kipindi cha van gaal hata akiondoka haina shida kwangu, wilson alikua brighton kwa mkopo, rash ford aliwahi kaliliwa akisema kapigiwa simu na mou kwamba yupo kwenye mipango yake, martial kuondoka ni kama ndoto za mchana.Hii sidhani kama ni kweli Rashford & Martial ungewandoa kwenye list labda ningedanganyika kiduchu.Rojo kwa upande wangu nadhani aina ya mpira wa kasi EPL umemshinda.
Nasikia mzee wa "sell or send them on loans" ameanza kupanga mikakati ya kukopesha kina James Wilson, Brackett, Rashford, Martial " the next Macheda", kuuza kina Mata, Rojo, Morgan.. mtaisoma namba.
Jaman kwan pogba tayar au tetes tuu?Yani miela Yote kwa ajili ya Pogba Duuh kweli mou Hajui
Tumia hela ikuzoeee.....Yani miela Yote kwa ajili ya Pogba Duuh kweli mou Hajui

Hata kama Dada ile hela nyingi sana.Tumia hela ikuzoeee.....![]()
![]()
Swal ni je pogba anaweza itendea hak kias alichoigarm tm?Tumia hela ikuzoeee.....![]()
![]()
Msaga sumu tuachie timu yetu hahahAsipokuja?
Mkuu sijaelewa hizo turnovers..View attachment 368448
Ndio faida ya kuwa klabu kubwa
Tuna Morgan, alafu jamaa ana 29 wakati pogba ana 22, ( zlatan & bastian tumewasajili na umri mkubwa sababu za kibiashara)Mi ni shabik Wa man u
Ila binafs sijamkubal pogba na sion kama pogba anaweza kuwa msaada pale ot
Sijaona cha muhm alichokifanya cha kutisha mpaka kununuliwa kwa kias kikubwa hivo
Ni bora matuid angeweza kuwa na msaada mkubwa sana kulko pogba
Pia kwa stayl ya mou
Matuid alikuwa ni bora zaid ya pogba
Ni mtazamo tu