Mkuu
herrera ni kweli Mourinho ni kocha mzuri lakini mwenye vitu vingi ambavyo haviendani na falsafa ya Manchester united moja kubwa ni kutowapa madogo wa kikosi B nafasi katika kikosi chake.Pili falsafa yake imejikita zaidi katika mpira wa kuzuia zaidi kuliko kushambulia defence tactics hili ndio jambo nisilolipenda kabisaaaa.
Ujio wa Mourinho ungeweza kusambatatisha matumaini ya makinda walioibuliwa na Van kwakuwa Mourinho ni mpenzi wa wachezaji established sio raw player kabisa.Nina uhakika Makinda wengi walioibuliwa na Van watakuwa chahcu kubwa ya ushindi msimo ujao ikiwa bench la ufundi litaachwa kama lilivyo.
Ikumbukwe msimo huu chini ya Van Man imekubwa na majeruhi wengi sana wa kikosi cha kwanza.Kabla ya majeruhi Man ilikuwa inacheze vizuri.Hakika kama sio kuvunjika mguu Luke Shaw,kuumia Young,Valencia,Jones majerui wa muda mrefu na wengine wa muda mfupi hakika tungekuwa tunagombania ubingwa au nafasi ya pili.