Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unajitekenya mwenyewe alafu unacheka mwenyewe soma comments zako hapo juu alafu toa ufafanuzi upya kwiiiii kwiiiii au kama vipi zikane kua moja haujaandika wewe maana haueleweki umesimama kwenye jambo gani.
Niko hapa kwa mpemba nakunywa kahawa nikisubiri jibu lako hakika sikai mbali na jamvi hili mpaka nikusikie usirudi mapangoni tu.
Moja nimemjibu shabiki wa man u mwenzangu, nyingine nimemjibu mkaanga sumu
 
Unajitekenya mwenyewe alafu unacheka mwenyewe soma comments zako hapo juu alafu toa ufafanuzi upya kwiiiii kwiiiii au kama vipi zikane kua moja haujaandika wewe maana haueleweki umesimama kwenye jambo gani.
Niko hapa kwa mpemba nakunywa kahawa nikisubiri jibu lako hakika sikai mbali na jamvi hili mpaka nikusikie usirudi mapangoni tu.
Ivi ww team yako yenyewe jipu kutwa kwenye nyumba ya jirani ilihali kwako una matatizo...
 
Majira ya joto ni bora Degea akaondoka tu, ni huruma sana kuona goalkeeper wa kiwango kile anacheza kwnye timu ambayo ni mediocre km ile, goalkeeper wa kiwango kile hatakiwi kukosa michuano mikubwa km UEFA, ondoka tu Degea nenda Madrid or liverpool ya Klopp uje utimize ndoto zako, Old Trafford ya Ferguson ndo ilkua Theatre of dream hii ya sasa ni Theatre of curse
Uko serious kweli ?unaongelea hii Liverpool ambayo haijachukua ubingwa wa EPL miaka 26 si bora aende Porto. Kipa wa Liverpool ni Mignolet kuhusu De Gea endelea kusubiri kama Gerrard alivyosubiria ubingwa wa EPL
 
Majira ya joto ni bora Degea akaondoka tu, ni huruma sana kuona goalkeeper wa kiwango kile anacheza kwnye timu ambayo ni mediocre km ile, goalkeeper wa kiwango kile hatakiwi kukosa michuano mikubwa km UEFA, ondoka tu Degea nenda Madrid or liverpool ya Klopp uje utimize ndoto zako, Old Trafford ya Ferguson ndo ilkua Theatre of dream hii ya sasa ni Theatre of curse
LIVERPOOL???? Please, hiyo historia naona sasa inawalemaza na upstairs. Yaani De Gea aondoke Manutd aende Liver??? Duh!
 
Unaonyesha jinsi gani unavyotuogopa unatamani tutolewe mapema ili tusikutane.....kwani bado una maumivu ya zile tatu....?
Hii ni Emirates Cup, msimu uliopita tuliwapiga viwili tena mbele ya mademu zenu! Walete walete!!
 
Duh imebidi nicheke tu kwa hiyo ukweli ni upi utampiga Liva pale Old Toilet na kumtoa kwenye Futuhi kama ambavyo umenijibu au hauwezi kumtoa kama ulivyomjibu shabiki mwenzio?
Moja nimemjibu shabiki wa man u mwenzangu, nyingine nimemjibu mkaanga sumu
Sawa timu yangu Jipu na kwa hali ilivyo timu yako itakua tambazi,ujio wangu kwa jirani ni sababu ya misiba mfululizo siwezi kuwaacha pekee yenu lazima niwasaidie kuchimba kaburi,hata mimi nikifiwa mnajaa pale kibarazani kwangu nina uhakika leo mmoja wetu atafiwa lazima tukutane msibani
Ivi ww team yako yenyewe jipu kutwa kwenye nyumba ya jirani ilihali kwako una matatizo...
 
Haya sasa bado muda mchache mtanange uanze...kwa kweli kombe la FA ndilo ambalo realistically timu yaweza shinda...line up siyo mbaya...ngoja tuone
 

Attachments

  • image.jpeg
    image.jpeg
    63.9 KB · Views: 29
Kwa hiyo kuna C. Palace, Everton na Watford sasa. Pamoja na kuwa siyo vibonde, lakini United ikipita leo, isifanye mzaha ili angalau ishinde hili kombe.
#Believe
 
Back
Top Bottom