Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Duh!yaani tumekuwa kama watoto mchana kanacheza uzuri tu ikifika usiku kanachemka kweli inabidi mkapeleke dispensary.Ila tutakaa uzuri hawa vijana ikipatikana chemistry kitaeleweka groly groly man United.
 

Asante Mkuu kwa mchango wako mzuri.

Labda nikuulize tena. Ivi ktk hawa wachezaji wa sasa wa Utd kuna wenye uchungu na Manyu kweli km walivyokua kina Schols???? Kwa mfano Depay au Bastian S.

Karibu
 
Sina hamu wala mengi ya kusema mechi ya jana. Van Gaal needs a sack ASAP. Agrrrrr!
Hello..How are you? Mentor

Nikajua ubize utakutinga tena...poleni mwaego!

Marehemu alikuwa mzima tena wa afya sijui nini kilimpata. Mchana niliongea naye na alikuwa mzima. Alikuwa akinieleza ndoto zake na mipango yake baada ya kupata ahueni kuwa anashangaa yeye na hali yake bado alikuwa juu yangu mie ambaye muda mrefu sasa nimeonesha dalili njema za kupona.

Haya bana...kazi yake Rondo haina makosa!!!!
 
Hahahahahaa yaani Leo umefufuka kuona Man U kafungwa nimekutafuta last week nimeweka hadi tangazo hujatokea Leo ghafla bin vuu umeibuka karibu tena dimbani......
 
Hahahahahaa yaani Leo umefufuka kuona Man U kafungwa nimekutafuta last week nimeweka hadi tangazo hujatokea Leo ghafla bin vuu umeibuka karibu tena dimbani......
Hauwezi kua uko siriazi aseee lini umenisaka au unataka kukumbusha misiba ya kale enheeeeee.
 
Asante sana my kaka Ila ni vijimambo tu na vina kera kweli kweli lakini naamini tutakaa sawa na tutamaliza salama with a good position.....

Mchepuko kawa mtaaaam Haki ya nani hadi raha treble nyingine tena nje nje!!!
 
Hauwezi kua uko siriazi aseee lini umenisaka au unataka kukumbusha misiba ya kale enheeeeee.
Hahahaha wee nipotezee tu Ila najua matangazo yangu uliyapata usiwe unakimbia waombelezaji wenzako wanapokuja kukupa pole si unaona mi najitahidi kupokea tu pole zako japo chungu next week usinikimbie bana!!!
 
Hahahaha wee nipotezee tu Ila najua matangazo yangu uliyapata usiwe unakimbia waombelezaji wenzako wanapokuja kukupa pole si unaona mi najitahidi kupokea tu pole zako japo chungu next week usinikimbie bana!!!
Mungu fundi aseeee game ya Swansea ile mchana kila nikiingia JF naambiwa sina access ya ku-log in duh nilimaind mbaya duh baada ya matokeo nikasema Asante Mungu niamini mimi JF inakera na ni chungu ukifungwa aseee natamani izingue tu,nitakuwepo mimi siendi mapangoni.
 
sisi chelsea tulishatoka huko tumewaachia manyuuu wanatamani nafasi ya 17 sisi haoooo top 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…