Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Afazari majerui waendelee wacheze madogo wengi timu inakuwa na spirit kuliko mafaza
 
Hii team afazari wacheze kina Varela kuliko awa mafaza hawajitumi kabisa wapo wapo tu
 
Wimbo wa LVG out unaanza tena kunoga baada ya kuonja Asali kwa wiki moja

hizi fixture mlizonazo next three weeks lazima mkubali tu...

tough tough fixture kama mnaonewa vile

Glory glory glory manure
 
Wimbo wa LVG out unaanza tena kunoga baada ya kuonja Asali kwa wiki moja

hizi fixture mlizonazo next three weeks lazima mkubali tu...

tough tough fixture kama mnaonewa vile

Glory glory glory manure
Hongera Naona Leo umepata kwa kushusha hasira zako za vipigo.......
 
Poleni kwa kipigo.....
Niliwahi kusema hapa kuwa nyie mtamaliza ligi mkiwa chini ya westham. Hali yenu c nzuri na mna tough fixture inawasuburi.

Pole dada yangu everlenk ingawa kule kwa mchepuko wako mambo ni mazuri. 12 point dhidi ya mahasimu wenu wakuu. Kwa hivi vitoto mnavyochezesha mjiandae kwa vipigo zaidi.
 
Kinachoniuma mgonjwa alianza kupata nafuu na leo amekula vizuri tu ila ndio nashangaa ghafla MAUTI yamemkuta msiba wa namna hii unauma sanaaaaaaaa...!
Ila it doesnt MATA what RONDON did to us kwiiii kwiiiii top four inasakwa kwa kibatari sijui kama tutaiona uwiiii.
ImageUploadedByJamiiForums1457290103.109298.jpg
 
Back
Top Bottom