Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wale wenzetu wa mtaa wa pili hali c shwali jaman, tujtaid kuwatia Moyo maana yale matumain yao ya kupona lile gonjwa lao la Mende kujaa kwny kabat limekosa tiba..
Duh!hii kauli ya misfortune never come single inawahusu sana nyumba ya jiraniiiii.
 
Mkuu Belo umesahau jambo moja na Van Gaal anastahili kuendelea na kazi aliyoianza.
LVG kama angekuwa flexible kukubali kukubadilika angefanikiwa sana naelewa ndio maana huko kwingine alifanikiwa but kwenye EPL lazima abadilike,Idea yake ya kuwapa nafasi chipukizi ndio inawafanya kina Woodward wanashindwa kumfukuza kazi kingine pamoja na kutofanya vizuri still kwenye mapato klabu inafanya vizuri sana
 
Pacha Jana nilikuwa naangalia kny youtube game tatu hizi za mwisho za Man U,Depay aiseeee Shemeji alisakata kabumbu acha kabisa kuanzia Ile Mityjland dooohh Depay kabadilika sana akiendeleza hii spirit na zaidi kila siku tutacheka.....shem Ana comeover......lol

Rashford uwiiiiii hii ni hazina sana haka kababy katuzwe sana kata tufa sana kanajua kutumia vizuri opportunity.......


Mata is anything that occupies a space kwa Norwich alinibariki sana.

Yaani ukitaka uinjoi game na ujue mambo vizuri uje ufanye replay aiseee unainjoi sana,siku ya game yenyewe presha ya Magoli inakuwa juu sana kiasi huoni utamu na ubaya uko wapi zaidi.


Pale mbele tu LVG apafanyie kazi tutacheka sana,halafu sasahivi defense yetu siyo tena kiviiile km kipindi fulani hapo Juzi Kati DDG alikuwa anapumzika,aiseeeee DDG anafanya kazi kubwa sana jamani acheni tu RM washindwe na walegee wasimsumbue tena.
Basi bora amekuwa na akili sasa kaacha usharobaro. Narudisha mapenzi na nitamuombea awe anatupiamo.
Rashford haka kaserengeti boy chetu nakaombea kafanye vyema kasilewe sifa.
Jamani mata huwa anatukomboa sana. Alistahili ile tuzo.
Wameshashindwa hao RM walituibia Ronaldo bado wakawa wanammendea na DDG.
Mamy mbona hujamsifia shem?
 
Waungwana sio mtu akurupuke humu aende kutoa pole ya msiba mgonjwa anaendelea uzuri so kama mtu anaweza kupita huko na juice itapendeza.
 
TWEET OF THE DAY...

1927754_1723922750981267_8176222452886369700_n.jpg
 
Line-ups

West Brom
1Foster
25Dawson
23McAuley
3Olsson
4Chester
29Sessegnon
5Yacob
24Fletcher
8Gardner
33Rondón
18Berahino


Substitutes

10Anichebe
13Myhill
14McClean
15Pocognoli
17Lambert
20Pritchard
30Sandro


Man Utd
1de Gea
36Darmian
12Smalling
17Blind
5Rojo
21Herrera
16Carrick
35Lingard
8Mata
9Martial
39Rashford

Substitutes
7Depay
20Romero
27Fellaini
28Schneiderlin
30Varela
47Weir
51Fosu-Mensah

Referee:
Mike Dean

#GGMU
ImageUploadedByTapatalk1457278766.313759.jpg
 
No excuse na kadi nyekundu sababu MAJOGOO show you the way already!

Dakika ya 30 kijana wetu Rashford hajagusa mpira hata mara moja ehehehe
 
Back
Top Bottom