Tuna piga City na picha ya Malkia ikiwa ukutani.Point 3 muhimu,imebaki kumfunga Man City
Next week nataka Arsenal Vs Tottenham watoke suluhu.....Ushindi muhimu sana leo, ukizingati Shitty, Spurs na Goooners wamechezea uppercuts...
Mdogomdogo tunakwenda ila game ilikuwa ngumu cha muhimu points 3.Nimefurahi kwa ushindi.........
Kweli kabisa point 3 ndo za muhimu...... Arsenal wazidi kushindwa na kulegea kabisa......Mdogomdogo tunakwenda ila game ilikuwa ngumu cha muhimu points 3.
Na kazini unaingia kifua mbele na tabasam la nguvu.... Leo mtu akikustress unamwambia tu....una bahati MAN U kashinda....Man u foreveeeeeeeeer
Leo usingizi mzito....
Mkuu niko ofisini hapa na shabiki Wa man city.....hataki hata salamuNa kazini unaingia kifua mbele na tabasam la nguvu.... Leo mtu akikustress unamwambia tu....una bahati MAN U kashinda....
Manchester united burudani kabisaman u bhana kwa kunichapia watu hadi raha.
Glory Glory Glory Manchester United
Mkuu Belo umesahau jambo moja na Van Gaal anastahili kuendelea na kazi aliyoianza.Still tuna wachezaji wazuri sana chipukizi tukipata kocha mzuri hii timu itakuja ku-dominate baada ya miaka 2.Kwa sasa Woodward hapaswi kusajili wachezaji wengi wa bei mbaya
Valera,Shaw,Mensah,Jackson,Depay,Pereira,Martial,Lingard,Rashford,Januzaj wote hawajafika miaka 23 Next season tunahitaji striker kiungo,winga na striker mmoja tu
Mwambie safari ya kutafuta top 4 imeanza rasmi tena.Mkuu niko ofisini hapa na shabiki Wa man city.....hataki hata salamu