Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahahahahahahaha wewe mchokozi kweli LOL! si unakumbuka ile mechi yetu mpaka HT tulikuwa mbele 4-0 jamaa wakafanya kweli na kutoa draw na kungekuwa na dakika tano zaidi basi wangetuadhiri zaidi. Kwahi manure nao wanaweza kuandika history katika hizi dakia 18 zilizobaki.

kwa refa huyu wasahu . hahahhaha hakuna upendeleo tena na wao wiki chahche zilizopita wameanza kuonja ladha ya urefa mbovu ...........

Sasa hii mechi sijui goli zote watasema refa.
 
Hahahahahahahaha wewe mchokozi kweli LOL! si unakumbuka ile mechi yetu mpaka HT tulikuwa mbele 4-0 jamaa wakafanya kweli na kutoa draw na kungekuwa na dakika tano zaidi basi wangetuadhiri zaidi. Kwahi manure nao wanaweza kuandika history katika hizi dakia 18 zilizobaki.

Mkuu ndo maana nikasema EPL ni nzuri sana! Sikuamini Newcastle kuchomoa mechi ile.....lbada na leo Manure!
 
we kweli una matumaini, kwa performance hii unategemea tutarudisha ata goli moja..unless labda tunaangalia mechi mbili tofauti. We are devoid of passion, urgency and spirit.

Mkuu ni kweli mpira mbovu ila ndio hivyo sasa...lakini naona kidogo wamebadilisha mpira....
 
_51544414_011458689-1.jpg






_51544415_011458673-2.jpg





_51544524_011458852-1.jpg


Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
_51544615_011458921-1.jpg




_51544662_011459005-1.jpg



Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
<p>Awa was8ng8 Liva kila game wangekuwa wanacheza hivi si wangekuwa Top 3?</p>

...wewe una team yako, na wao wana team yao...acha kuwanyanyapaa wenzio bana...!

tayari matairi ya bajaj.....asante kaka.....bado nimeshika kitovu kwa nguvu sana ili man asipate kitu.........

...haya bana, taratibu lakini usije ukakichomoa! ha ha ha..

Mkuu ni kweli mpira mbovu ila ndio hivyo sasa...lakini naona kidogo wamebadilisha mpira....

...kukosekana kwa Rio na Vidic nilitegemea SAF angeanza na O'shea...
I hope mtapata goli japo la kufutia 'kamasi'...

ngbbs432ce9c24508a.jpg
 
halafu nani huwa ana hasira za ajabu kweli na hazia msingi..........
 
mkosi wa jezi nyeupe unaendelea lol... Ila kichapo cha leo kinauma especially kutoka kwa liverpool.. Maana wakitoka hapo wanaweza kushindiliwa tatu na west ham..
 
mkosi wa jezi nyeupe unaendelea lol... Ila kichapo cha leo kinauma especially kutoka kwa liverpool.. Maana wakitoka hapo wanaweza kushindiliwa tatu na west ham..

Mkuu jana tulipata point moja mlichonga sana kama vile tumefungwa chacha leo njomba kiko wapi? khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeee dakika 3 hizo za majeruhi rudisha magoli chacha kwa Brown envelopes ... ... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

 
Haya goli la kwanza hilo tunasubiri mawili khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mmechafua gazeti kiduchu.
 
...wewe una team yako, na wao wana team yao...acha kuwanyanyapaa wenzio bana...!



...haya bana, taratibu lakini usije ukakichomoa! ha ha ha..



...kukosekana kwa Rio na Vidic nilitegemea SAF angeanza na O'shea...
I hope mtapata goli japo la kufutia 'kamasi'...

ngbbs432ce9c24508a.jpg

Kabisa huyu Oshea huwa anacheza vizuri ile namba so sijui kwa nini walimuweka bench
 
mkosi wa jezi nyeupe unaendelea lol... Ila kichapo cha leo kinauma especially kutoka kwa liverpool.. Maana wakitoka hapo wanaweza kushindiliwa tatu na west ham..

128911131788052794.jpg

...huyo CHICHARITO kawatoa...
 
Jamni hivi goli zote hizo tumepigwa kweli au ndio mambo ya marefa kuichukia man u?...ila mwaka huu ubingwa wetu tuu
 
Back
Top Bottom