Hahahahahahahaha wewe mchokozi kweli LOL! si unakumbuka ile mechi yetu mpaka HT tulikuwa mbele 4-0 jamaa wakafanya kweli na kutoa draw na kungekuwa na dakika tano zaidi basi wangetuadhiri zaidi. Kwahi manure nao wanaweza kuandika history katika hizi dakia 18 zilizobaki.
Hahahahahahahaha wewe mchokozi kweli LOL! si unakumbuka ile mechi yetu mpaka HT tulikuwa mbele 4-0 jamaa wakafanya kweli na kutoa draw na kungekuwa na dakika tano zaidi basi wangetuadhiri zaidi. Kwahi manure nao wanaweza kuandika history katika hizi dakia 18 zilizobaki.
we kweli una matumaini, kwa performance hii unategemea tutarudisha ata goli moja..unless labda tunaangalia mechi mbili tofauti. We are devoid of passion, urgency and spirit.
Zinarud zote tatu, msijali
Zinarud zote tatu, msijali
Yaani hapa dakika 90 ndo nitakubali............
<p>Awa was8ng8 Liva kila game wangekuwa wanacheza hivi si wangekuwa Top 3?</p>
tayari matairi ya bajaj.....asante kaka.....bado nimeshika kitovu kwa nguvu sana ili man asipate kitu.........
Mkuu ni kweli mpira mbovu ila ndio hivyo sasa...lakini naona kidogo wamebadilisha mpira....
Hopeful tutapata ushirikiano wako kama huu j4![]()
![]()
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Hopeful tutapata ushirikiano wako kama huu j4
mkosi wa jezi nyeupe unaendelea lol... Ila kichapo cha leo kinauma especially kutoka kwa liverpool.. Maana wakitoka hapo wanaweza kushindiliwa tatu na west ham..
...wewe una team yako, na wao wana team yao...acha kuwanyanyapaa wenzio bana...!
...haya bana, taratibu lakini usije ukakichomoa! ha ha ha..
...kukosekana kwa Rio na Vidic nilitegemea SAF angeanza na O'shea...
I hope mtapata goli japo la kufutia 'kamasi'...
![]()
mkosi wa jezi nyeupe unaendelea lol... Ila kichapo cha leo kinauma especially kutoka kwa liverpool.. Maana wakitoka hapo wanaweza kushindiliwa tatu na west ham..