Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Vipi pale! hahahahahahaha bado moja kumalizia siku LOL! raha kweli kweli.
 
Lingine sio mbaya lakini maana vijana wanacheza sio mpira mbaya.......
 
What a come back ......Liverpool 3 Man utd 4 hahahahahahahahahaahahahah BAK
 
Basi tena......Jamaa kapiga H'trick yake swafiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii......tena yeye na kipa ni nchi moja kabisa...so hakuna Kulaumu...wanafahamiana....Poleni sana washkaji.....tena poleni sana......Koz its much better for a point gain than three point Loss......
 
hapa nimeshika kitovu ili man asipate kitu kabisa....maana mchezo ukiisha hivi basi nina kilo mbili ...tumewekana na Chief accountant wetu.....juzi kwa chelsea nilikuwa hivi hivi.........
bado moja kama matairi ya bajaji.... Manure mtajibeba leo

...Bless you Edson, YOU WILL NEVER WALK ALONE bro, ha ha ha,...e bana weeeee!
 
Vipi pale! hahahahahahaha bado moja kumalizia siku LOL! raha kweli kweli.

Raaaaaaaaaaha sana kaka.....Uongo.????? hahahahahahaaaaa.........Tena hii furaha naisindikiza kwa Ubwabwa Kwa Maharage...Vyote nazi....Pembeni nina Pepsi Bariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiidi
 
What a come back ......Liverpool 3 Man utd 4 hahahahahahahahahaahahahah BAK

Hahahahahahahaha wewe mchokozi kweli LOL! si unakumbuka ile mechi yetu mpaka HT tulikuwa mbele 4-0 jamaa wakafanya kweli na kutoa draw na kungekuwa na dakika tano zaidi basi wangetuadhiri zaidi. Kwahi manure nao wanaweza kuandika history katika hizi dakia 18 zilizobaki.
 
Mkubwa vipi tena mbona unashtuka????mpira bado broda.....
we kweli una matumaini, kwa performance hii unategemea tutarudisha ata goli moja..unless labda tunaangalia mechi mbili tofauti. We are devoid of passion, urgency and spirit.
 
Kesho ofcn kutakalika kweli?, sijui.


Piga simu unaumwa ili uomboleze vizuri maana kwa L'pool walivyokuwa vibonde nadhani mlishazihesabu points tatu kama ni zenu.
 
Carol anachukua mazoezi ili aingie khe khe khe kheeeeeeeeeeee where is Tor The Res ..... ..... ....... ...... ... nasikaia analia chumbani kwake khe khe khe amevunja monitor ya TV yake ... . .... Carol in.
 
<p>Awa was8ng8 Liva kila game wangekuwa wanacheza hivi si wangekuwa Top 3?</p>
 
...Bless you Edson, YOU WILL NEVER WALK ALONE bro, ha ha ha,...e bana weeeee!

tayari matairi ya bajaj.....asante kaka.....bado nimeshika kitovu kwa nguvu sana ili man asipate kitu.........
 
Back
Top Bottom