...ha ha ha, shukran Yakhe...msiba wetu sote huu, msijione wapweke, Manda keshaanza mkufuru Mungu...LOL!
Hahahaha!
NANI analia!, ila kile kiatu kilikuwa balaaa!
Mkuu ushabiki umekushinda Loser fools wameingia na gia nyingine leo wamewapania from the word go ... .... .... ... Jitahidini mtoe draw kama Gunners jana khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee chacha njomba leo utachekea c h o o n i
Nani inasemekana ni Punga! Hakuna na sababu ya kulia pale ama ni ile cross kwa Kuyt?
Ati waungwana BIA gani nikinywa apa ntaona dakika zinakwenda fastafasta?, hii juicy naona hainfai tena.
hard to defend the performance...maisha yangu yote ya kusupport man utd sijawahi kuona timu ikicheza with such a slow tempo and no sense of urgency.
We can be optimistic lakini game ndio imeisha, i dont see us coming out of this shambolic display unless something miraculous happen which i highly doubt.
Carragher should have been off for that atrocious foul, and nani's reaction ilikuwa disgraceful. Ngoja nirudi zangu kulala sasa.
Tunayasubiri magoli yenu ya ndondokela pia khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Vipi cha Rafael? Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee[/QUOTE
Mkuu yatapatikana tu.....]
Mkuu naona nawe umefanya STC maana naona jina sasa limekuwa kwenye bold, hongera sana.
Karibu sana mkuu.....usipotee baada ya break
What is STC?
Ati waungwana BIA gani nikinywa apa ntaona dakika zinakwenda fastafasta?, hii juicy naona hainfai tena.
Ati waungwana BIA gani nikinywa apa ntaona dakika zinakwenda fastafasta?, hii juicy naona hainfai tena.
Saidia Tujenge Chetu LOL!