Afande Nyati
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 2,385
- 1,414
Manchester United.
Mkuu nadhan ushaunganishwa tayari.0686037874 join me mkuu
Dada yangu kwema hapa?Kuna misiba miwili so marehemu watazikwa pamoja, kesho tutasafirisha msiba mpka Emirates na Huko ndo mazishi yatafanyika na tutakuwa na tanga Ndugu ya siku tatu.
jipe moyo kwani ndo kilichobakiaKuna misiba miwili so marehemu watazikwa pamoja, kesho tutasafirisha msiba mpka Emirates na Huko ndo mazishi yatafanyika na tutakuwa na tanga Ndugu ya siku tatu.
Haaaa haaaa mweeee pole mfiwa naona umevurugwa hata maamuzi hauna kaka yako Wayne Rooney rasmi kasema top four kwao ndoto,kesho namalizia kukiua kile kidogo changu pale gheto alafu unafuata wewe naomba Darmian asipone acheze mjomba Love kwiii kwiiii mnanipa raha nyieKuna misiba miwili so marehemu watazikwa pamoja, kesho tutasafirisha msiba mpka Emirates na Huko ndo mazishi yatafanyika na tutakuwa na tanga Ndugu ya siku tatu.
Ha ha ha ha aiseeeee, jf bwana acha tuManchester Ubwegeted haivumiliki.....![]()

Hayo majina yana maana gani.? Ukute ni matusiShabiki wa Man U upo?Niite Kone au Ndoye!Yote nitaitika
Hawa nao kutuotea imekuwa shida.......
Kweli ndugu yangu maana kama tuna homa za vipindi vile mchana bukheri wa afya usiku tunatetemeka.Pana haja ya kutafuta mtu mwingine enzi za babu tulikuwa kuna waqt timu anapanga mpaka mnachanganyikiwa mnaiona mbovu but ndoo tunachukua.Yaani weekend yote imekuwa vururu vururu.....,
Haya mtabiri .......lakini tupogo tutafika tuuu......
God forbid(in nigerian voice)yaani mara hii mnaanza kutuona kama liverpool?no tutarudi kuanzia msimu ujao.
Tupogo banaaa.....nimeshaandaaa Magari tayari msiba utakuja hapo Kwenu muupokeee.Haaaa haaaa mweeee pole mfiwa naona umevurugwa hata maamuzi hauna kaka yako Wayne Rooney rasmi kasema top four kwao ndoto,kesho namalizia kukiua kile kidogo changu pale gheto alafu unafuata wewe naomba Darmian asipone acheze mjomba Love kwiii kwiiii mnanipa raha nyie
Tupogo banaaa.....nimeshaandaaa Magari tayari msiba utakuja hapo Kwenu muupokeee.