Mpira unadunda matokeo yatakuwa tofauti tu....
Kazi ipooo...apa nimezungukwa na wadada Liva, Arsenols na Man City na wale ambao hawaipend Manure kwa sbb ya Rio basi leo nahisi ntatiwa hadi vidole machoni. Mpira bana..agrrrrrrrrrrr!
Ni vizuri kujipa moyo.....ila hakuna la pili kama la kwanza halipo..........Safari ni safari
Khe khe khe Surez kawazunguka wachezaji wa Manu lukuki khe khe kheeeeeeeeeeeeeee
Ehhh??
...kwanza hodi humu...vipi tena jamani???!
Suarez the man from Uruguay is tormenting Smalling...
Dirk Kuyt keshaona nyavu mara mbili...mnh? haya...
...:loco: