Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tatizo lake moja tu: yupo too rigid. #ManUnited is used to dynamic football, win or lose, that's how the team plays. Sasa huyu bwana anawafanya wachezaji wawe kama watoto wanaojifunza soka; yaani wa-stick kwenye positions zao tu mwanzo mwisho.

Ndiyo ilikuwa vigumu kuwazuia United kukufunga; kwani hawakuwa predictable kama ilivyo sasa. Dynamic playing style inafanya timu pinzani isifahamu mbinu gani itumie kujilinda.

Inauma, lakini maamuzi magumu sasa ni muda muafaka.

#Let'sdothisUnited
Mkuu kwa hiyo sasa tupo pamoja tunavosema van gaal kafeli and he should go?
 
Tatizo lake moja tu: yupo too rigid. #ManUnited is used to dynamic football, win or lose, that's how the team plays. Sasa huyu bwana anawafanya wachezaji wawe kama watoto wanaojifunza soka; yaani wa-stick kwenye positions zao tu mwanzo mwisho.

Ndiyo ilikuwa vigumu kuwazuia United kukufunga; kwani hawakuwa predictable kama ilivyo sasa. Dynamic playing style inafanya timu pinzani isifahamu mbinu gani itumie kujilinda.

Inauma, lakini maamuzi magumu sasa ni muda muafaka.

#Let'sdothisUnited
Hilo ndio kosa lake kubwa hawapi wachezaji wawe huru uwanjani ndio maana wakina Di Maria wakaja kuonekana hawana kitu

Hahahaha nimeipenda hiyo hashtag..... Glazers time is now... get rid of this chump
 
Bora haya matokeo tungeyapata kwa Giggs tungesema anajifunza but philosoply ya LVG haiwezi kufanya kazi kwenye EPL,Last week tulidiscus why United wasimsajili huyu Austin kwa mkopo leo anakuja kutufunga
Naona umejiunga na #TeamRRONDO and company kumkataa LVG
 
1453569538773.jpg
 
Nafikiri washabiki wote wa Man Utd tukubaliane kimoja kati ya hivi viwili, either kocha ni mbovu au wachezaji ni wabovu!!! Mimi binafsi na uelewa wangu mdogo naamini KOCHA LVG NI MBOVU NA ANATAKIWA AFUKUZWE HARAKA SANA, kuna timu zina wachezaji wa kawaida tu lakini zinatusumbua sana!
 
Ivi makocha hawatolewi kwa mkopo?? Kama inawezeka uyu atolew kwa mkopo tu hakuna namna
 
Tatizo lake moja tu: yupo too rigid. #ManUnited is used to dynamic football, win or lose, that's how the team plays. Sasa huyu bwana anawafanya wachezaji wawe kama watoto wanaojifunza soka; yaani wa-stick kwenye positions zao tu mwanzo mwisho.

Ndiyo ilikuwa vigumu kuwazuia United kukufunga; kwani hawakuwa predictable kama ilivyo sasa. Dynamic playing style inafanya timu pinzani isifahamu mbinu gani itumie kujilinda.

Inauma, lakini maamuzi magumu sasa ni muda muafaka.

#Let'sdothisUnited
Leo washabiki uwanjani walikuwa wanamtukana LIVE....na kwasababu ni mbishi atakaa mpaka afukuzwe....the guy is USELESS,mimi niliona hio loooong time!!!
 
Man Utd wamepoteza uwezo wa kushambulia na kusaka magoli kupitia Antonio Valencia na Ashley Young ambao hawachezi tena.

Man Utd ni timu kubwa hivyo wanaweza kuchukua uamuzi wowote ule lakini hautakuwa wakati huu, na hili ndilo tatizo.

Man Utd hawatafanya usajili tena hadi msimu ujao kuashiria kuondoka kwa LVG.

Wasipoangalia, Watford wanakuja nyuma yao na Leicester wanaongoza kwa 10 points juu ya nafasi ya tano ambayo Man Utd wapo.
 
Nafikiri washabiki wote wa Man Utd tukubaliane kimoja kati ya hivi viwili, either kocha ni mbovu au wachezaji ni wabovu!!! Mimi binafsi na uelewa wangu mdogo naamini KOCHA LVG NI MBOVU NA ANATAKIWA AFUKUZWE HARAKA SANA, kuna timu zina wachezaji wa kawaida tu lakini zinatusumbua sana!
Kwa stage tuliyofikia sasa...hilo suala halina mjadala kuwa upande upi ni mbovu... philosophy imeshindwa kufanya kazi.
 
Manchester United were booed off as Charlie Austin's late winner gave Southampton a 1-0 victory at Old Trafford.

Austin came off the bench to score on his debut (87) after drawing a needless free-kick from Adnan Januzaj, the United substitute barely 30 seconds into his first appearance since returning from Borussia Dortmund.

The goal sparked a furious response from significant numbers of a home support that had been restless throughout, and the result leaves United five points off the Champions League places.
 
Man Utd wamepoteza uwezo wa kushambulia na kusaka magoli kupitia Antonio Valencia na Ashley Young ambao hawachezi tena.
Unamaanisha nini hawachezi tena? Like infinitely?!? Jamaa wana injuries tu! Wakipona watarudi. Ashley nafikiri atafanyiwa groin surgery; na Antonio yupo under rehab sasa.
 
Back
Top Bottom