Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

LVG amwingize Depay ili kuleta pace zaidi kwenye wings...huyu dogo Lingaard anazingua sana...anapoteza mipira sana..
 
hahahahaha Majanga United. Mourinho atakuwa anachekelea huko alipo.
 
teh teh teh teh teh teh Leicester 3-0 Stoke City

Man United 0-1 Soton...

This club is a joke..
 
Enough is enough he has to go today
Maajabu ya mwaka huu tutashuhudia timu mbili mpya kutoka Uingereza kwenye Champions League..

Leicester ambao ndio watakuwa mabingwa, na Spurs (japo walishachezaga UEFA)... Chelsea na Man United kwisha kazi..
 
Man u mtafungwa mpaka mtueleze depay ni mkongo au muholanzi
 
Back
Top Bottom