Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,148
- 17,002
Hii timu mbovu sana aisee. Shoot 1 tu dk 30? Afu ni full kikosi. Kazi mnayo
Weeee Bwana weee kaka yangu haya mambo yaache tu kubomoa ni rahisi kuliko kujenga ila tutafika tu......Hii timu mbovu sana aisee. Shoot 1 tu dk 30? Afu ni full kikosi. Kazi mnayo
Kwendraaaaaaa kwani wewe mwenyewe ushindi si umeupata dakika za lala salama, mpira bado unadundwa...... Hongera bingwa mteteziTimu yenu kweli majanga yaani hadi dakika ya 26 hamjafungwa wala kufunga goli?
Ndivyo ilivyo wala hujakosea, mimi sasahivi siangalii tena nitaomba updates zenu.....Mimi naona leo ni kama vile LvG amerudia tabia yake ya kuwafunga wachezaji kwenye positions zao! Maana naona movements za Martial ni kama vile kaambiwa asitoke kwenye left wing....ama ni macho yangu tu?
acha tu aiseHata hawa tunashindwa kuwafunga
Man united inazingua sasaacha tu aise