Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Ulimsikia Scholesy alivyosema? Ni kama nilivyosema jana, LVG anawabana wachezaji kwenye positions na kuwafanya wasiwe dynamic. Mata ukimpanga kwenye right wing na kutegemea atacheza vizuri kwa ku-stick kwenye position utamwonea bure. Vivyo hivyo kwa Herrera, Martial na hata Rooney. Sasa tukija kwa Fellaini, jana alikuwa akicheza nafasi ya Morgan. Sasa kama defensive midfielder unategemea angefanya nini? Fellaini is more useful akiwa kwenye front attacking line; kwa kutumia kimo chake.fellaini ndio anavuruga timu, we angalia siku akianza timu inakuwa haina free flowing football...ila ndio LVG huyo sijui huwa anafikiria nini?