Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yaa haina haja ya kununiana sababu ya matokeo haya jamani
CC everlenk

Sisi tumekubali hatuna ntantalinta nyingi kama kina fulani leo mkono wa Wenger umekuwa ni mzito kwetu full stop, haya karibuni tufunge turubai ,wapi Spika wapi Mic leo ni kigodoro tu mpka kunakuchaaaaaaaaa!!!!!! cute b Dj wetu tutatisha picha nzuri nzuri sawa Mae ni dundo mpka kunakucha na wasivyotupenda najua kigodoro hiki kitaenda wiki nzima.
 
Last edited by a moderator:
Nasikia eti ni mambo ya mbadiliko...hili joto na mabadiliko limeenda hadi huko ulaya kwenye mpira...mourinho alimkata dr.,sasa timu inamfia mikonon...leo mende kabinua kabati
 
Nasikia eti ni mambo ya mbadiliko...hili joto na mabadiliko limeenda hadi huko ulaya kwenye mpira...mourinho alimkata dr.,sasa timu inamfia mikonon...leo mende kabinua kabati
Mende ni nyinyi mlonunua viungo lukuki mkashindwa namna ya kuwapanga...panic signings!
 
Sio mbaya sana msimu tumeuanza vizuri tunahitaji kushinda mechi ijayo muhimu kufikisha point zaidi ya 20 ndani ya mechi 10
 
Yaani ni bora Martial na Wilson wawe wanaanza kuliko Rooney aiseee...

Sijui nini kinamsibu huyu ndugu...pengine ndiyo jua limeshazama hivyo...
Hata mtoto Depay sio wakuanza
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Yaani ni bora Martial na Wilson wawe wanaanza kuliko Rooney aiseee...

Sijui nini kinamsibu huyu ndugu...pengine ndiyo jua limeshazama hivyo...

Rooney anahitaji kupumzika kwa muda kidogo, Depay ananikera sana mechi nyingi anapoteza mipira kizembe sana anahitaji kuwekwa benchi ili ajifunze. Valencia na Young ni muhimu sana kuanzishwa hasa nafasi za mbele kwa kuwa wanaweza kutengeneza nafasi kwa sasa Martial anaumizwa tu kwa kuhangaika peke yake pale mbele
 
Sisi tumekubali hatuna ntantalinta nyingi kama kina fulani leo mkono wa Wenger umekuwa ni mzito kwetu full stop, haya karibuni tufunge turubai ,wapi Spika wapi Mic leo ni kigodoro tu mpka kunakuchaaaaaaaaa!!!!!! cute b Dj wetu tutatisha picha nzuri nzuri sawa Mae ni dundo mpka kunakucha na wasivyotupenda najua kigodoro hiki kitaenda wiki nzima.

Hahaaaaaa yebaaaaa
 
Last edited by a moderator:
kuna maisha baada ya mechi kama ambavyo kuna maisha baada ya uchaguzi
 
Shida sio Darmian bali mediocre kocha wenu
Arsenal wana vijana na watu wa speed kama Coquellin,Carzola na Ozil LKN eti ndiyo wapambane na vikongwe wenu akina Swains na Carrick ambao wote ni 30 +

Muweke Herrea na Schne vijana hawa waruke na vijana wenzao!Miaka 3 ya LVG inisha hivi hivi Man U

Bora ukae kimya tu uchambuzi unaotoa hauna mashiko
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Sisi tumekubali hatuna ntantalinta nyingi kama kina fulani leo mkono wa Wenger umekuwa ni mzito kwetu full stop, haya karibuni tufunge turubai ,wapi Spika wapi Mic leo ni kigodoro tu mpka kunakuchaaaaaaaaa!!!!!! cute b Dj wetu tutatisha picha nzuri nzuri sawa Mae ni dundo mpka kunakucha na wasivyotupenda najua kigodoro hiki kitaenda wiki nzima.

Leo hapa kidodoro lazma kichezekeeee....
Tumebana tumeachiaaa....tatu bila tatu bilaaa....
Tumebana tumeachiaaa eeeh eeeh eeeh...
Kupata wimbo wa man u wa TATU BILA tuma neno WENGER kwenda namba 15001
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom