everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Yaa haina haja ya kununiana sababu ya matokeo haya jamani
CC everlenk
Sisi tumekubali hatuna ntantalinta nyingi kama kina fulani leo mkono wa Wenger umekuwa ni mzito kwetu full stop, haya karibuni tufunge turubai ,wapi Spika wapi Mic leo ni kigodoro tu mpka kunakuchaaaaaaaaa!!!!!! cute b Dj wetu tutatisha picha nzuri nzuri sawa Mae ni dundo mpka kunakucha na wasivyotupenda najua kigodoro hiki kitaenda wiki nzima.
Last edited by a moderator: