Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Ferguson alikuwa master wa kupanga wachezaji kutokana na aina ya mechi nakumbuka kina Chicharito,Park Ji Sung,Wes Brown.Depay,Fellaini na Bastian hawa wanapaswa kupewa priority game za UEFA while Young,Martial,Mata,Schneidelein game za EPL
Anyways, ni kocha tofauti na ana mfumo wake. Tumuangalie atafika wapi.