Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,912
- 10,262
Yeah, hao WC ni wachache sana kwa sasa.
Uchezaji wa Depay unanitia mashaka, ana showoff sana kuliko kazi anayotakiwa kuifanya.
Napenda how Young Ashley alivyo aggressive kwenye kupeleka mashambulizi mbele.
Expectation kwa huyu dogo zilikuwa kubwa sana,tatizo sio yeye tu angalia Mitrovic,Firmino,Pedro, Otamendi bado wanastrugle EPL sio nyepesi tatizo lake anapenda sana kukaa na mpira na mara nyingi anapoteza.I hope atakuja kutulia tu,so far LVG anafanya rotation vizuri sana