Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yeah, hao WC ni wachache sana kwa sasa.

Uchezaji wa Depay unanitia mashaka, ana showoff sana kuliko kazi anayotakiwa kuifanya.

Napenda how Young Ashley alivyo aggressive kwenye kupeleka mashambulizi mbele.

Expectation kwa huyu dogo zilikuwa kubwa sana,tatizo sio yeye tu angalia Mitrovic,Firmino,Pedro, Otamendi bado wanastrugle EPL sio nyepesi tatizo lake anapenda sana kukaa na mpira na mara nyingi anapoteza.I hope atakuja kutulia tu,so far LVG anafanya rotation vizuri sana
 
original

original

original
 
Expectation kwa huyu dogo zilikuwa kubwa sana,tatizo sio yeye tu angalia Mitrovic,Firmino,Pedro, Otamendi bado wanastrugle EPL sio nyepesi tatizo lake anapenda sana kukaa na mpira na mara nyingi anapoteza.I hope atakuja kutulia tu,so far LVG anafanya rotation vizuri sana

Ningependekeza awe anatokea bench. Ataweza kujipanga vizuri.
 
Ningependekeza awe anatokea bench. Ataweza kujipanga vizuri.

Ferguson alikuwa master wa kupanga wachezaji kutokana na aina ya mechi nakumbuka kina Chicharito,Park Ji Sung,Wes Brown.Depay,Fellaini na Bastian hawa wanapaswa kupewa priority game za UEFA while Young,Martial,Mata,Schneidelein game za EPL
 
Back
Top Bottom