Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mamakeee baadae mpenzi wangu ndio tunaingia ukumbini now..hapa niliingia kwa simu ya mtu.
Aunt lenk mmwah

Mumyyyyy ntakumisssssssssssss mummy siku hizi sisi ni watu wa 3 kavuuuuu!!!!!! Hahahahhaha
 
uploadfromtaptalk1443283402902.jpg
 
Umekuwa mtaaaam kama mcharoooooo!!!!! Mwaaaaaa
 

Attachments

  • 1443283681737.jpg
    1443283681737.jpg
    40.2 KB · Views: 105
Eee Mungu muumba mbingu na nchi Man City wameloose tusaidie sisi tuwin na tuwe pale juu, msaidie Van Gaal achezeshe karata zake vyema, watie nguvu wachezaji wetu wacheze kufa na kupona na wape uwezo wa kufunga magoli mengi ni Point tatu tu tunahitaji, Naamini yote katika jina lako Ameeen, watu wote tuseme Amen......#GGMU

Asante sana Mungu kwa kusikia maombi yangu na sasa tupo juu ya wote na kwa uwezo wako tutaendelea kubaki juu,Ameeen. .........#GGMU
 

Attachments

  • 1443283832332.jpg
    1443283832332.jpg
    63.8 KB · Views: 124
Back
Top Bottom