Woyooooooooooooooo........my baby depay thank yuu so much......duuuuuuuuuuuuh hurereeeeeeeeeeeeeeee.
Wakuu nipo sema mjue nini...leo jumamosi afu dizain kama mrs depay ni flower kwenye hiyo harusi ila pamoja sana..
Mummyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy upooooooooooooo!!!!!!!!!!!!! Toroka uje
Hahahaaaaaaaaa mamy hukuu hurereeee wanajua nashangilia harusi kumbe magolii ya rooney na babito
Hahahhahahha usije kuwa kama mimi ile last week watu wananiona nayarudi kumbe najichezea kigodoro changu. ........
Hongera kwa kuondoa gundu...
Th Name nimekumiss...ila ujue nini Depay fundiiiiiameshakuja tayari mrs. depay
bora umekuja
Leo watu wamesafishwa dhambi zao..na sasa wapo huru wamefunguliwa rasmi
Hahahaa nakosaje kuja na depay kafanya yake..hadi nimeomba simu ya mtu niingilie jamii forum..
Bado goli mbili tumalize mchezo.
Ameeeennnnnnnnn
Ameeeennnnnnnnn
Heheheiyaaaaaaaa dizain kama pale kwenye chart sisi ndio tunaongozaaaaa...
Manchester united woyoooooooooooooo
Hahahaaaaa na wew si ulikuwa unataka rooney na baby wangu watoleweee.. mungu amewanyoosha
Jamani tupo mbari Na TV tupeni uhondo kunani
Jamani tupo mbari Na TV tupeni uhondo kunani