Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United lost a lead and lost 3 points to Swansea last night, during LVG's 50th game and here are 10 things we learned from that game:
1. We can't score in the league. It's worse than frustrating - and we've been found out!
2. Sergio Romero has also been found out - after our 'what we expect to see in the game' issue that Romero would be tested and we needed to see his stuff, it was clear that from his positioning and clearance, he is a great liability!
3. Luke Shaw is United's best player by a mile. His drive forward and defensive positioning were not effected and he did not lose his cool even in the dying minutes of the game.
4. Wayne Rooney, despite getting a hat trick last week, seems to lack that poacher, first-touch goal instincts. Also, he had so little supply in the first half - less touches that even Romero that it's embarrassing to waste such player who creates opportunities to wait for meagre passes from a side-ways passing game!
5. We need a striker, a true number 9 who's hungry to score and able to play in the system - whichever system. This is guy who'd benefit from Rooney's passes!
6. This is LVG's team and he lacks plan B except, if you cannot score, then ping balls to Fellaini. When did we become a team team that cannot attack or fight back?
7. Speaking of pinging balls - our plan B has also been found out and the trick for Fellaini is to mark his supplier (Young in this case) and then let the Big Fella commit fouls. It was very embarrassing!
8. Mata and Herrera have a good understanding forward. The only issue was the other side... of the forward line.
10. Depay needs to develop some kind of understanding with either Shaw or #10 and even Wayne Rooney/forward. He was very lost up front.
10.1. Ashley Young came in and caused more passes to the box in the final 20 minutes that it happened with any other player. He needs to start.
10.2 Bastian Schweinsteiger played the full game. He's fit now.
10.3. Possession is overrated, especially with such sideways passing game. We need to attack!

 
DSC098281.jpg
 
kuna vitu vya kuchekesha sn pale man utd chini ya van gaal!! kiuhalisia jamaa anaangalia udugu sn!! mi sioni sababu ya blind kucheza CB wakati mtu km rojo yupo nje ""hana mechi fitness""according to lvg!! kisa hakucheza pre season, je mess,neymar hawa wote wanacheza bila shida na walikuwa na rojo!! rojo+smalling hiyo ndo beki!! lvg!! leo hii nasoma taarifa nackia anthony martial wa monaco 19years, kwa paun mil43, huu ni upuuzi mkubwa kwa lvg
 
Tatizo nikicheza Leo kesho nachezewa. Yaan hz timu tatizo sijui n nn yaan tia maji tia maji sana
 
Swansea ni wazuri but game ya Jana tumeipoteza wenyewe LVG amefanya uzembe sana,sijui kwa nini alimtoa Mata akamuacha Depay kuanzia mwanzo alikuwa mzigo.Shaw alikuwa anacheza beki same time winga. Kuna dogo James Wilson sijui kwa nini hapewi nafasi na tuna tatizo la striker
 
Mwanakijiji
You are loosing your direction and mind. Mkapa kama mwenyekiti wa chama cha siasa au kama mtanzania mwingine ana uhuru wa kutoa msimamo wake na mawazo yake au ya chama. Kudharau mahakama ni kutofuata maamuzi ya mahakama. Let us look the other side of the coin, kama mahakama ingekataza mgombea binafsi viongozi wa vyama vinavyounga mkono mgombea binafsi vingekuwa na uhuru wa kutamka kutofurahishwa na maamuzi ya mahakama. Huko siyo kuzalau mahakama.

Mimi binafsi naunga mkono wagombea binafsi kwa sababu siyo haki kwa mtu ambaye hakubaliani na sera za chama chochote kumkataza asigombee nafasi ya uongozi katika jamii. Ingawa tukiangalia ukweli itakuwa ni vigumu sana ka mtu mmoja kuuza sera zake bila kuwa na chama. Mimi sielewi ni kwa nini CCM wanapinga kwani naamini wagombea binafsi ni + kwa CCM. Tutegemee utitiri wa wagombea na mara nyingi kwenye hali kama hiyo ni + kwa CCM. Lakini hiyo siyo sababu ya mimi kuunga mkono ila naamini ni haki kwa kina mtu kuogombea uongozi bila kujali itikadi.

I agree with you but the main problem of Man United is striker (We don't score goals to finish the game) Even Barca don't have best defence but they have strike force to finish the game
 
Swansea ni wazuri but game ya Jana tumeipoteza wenyewe LVG amefanya uzembe sana,sijui kwa nini alimtoa Mata akamuacha Depay kuanzia mwanzo alikuwa mzigo.Shaw alikuwa anacheza beki same time winga. Kuna dogo James Wilson sijui kwa nini hapewi nafasi na tuna tatizo la striker
Jana nimesikitika kumtoa Mata ile Sub ilikuwa ya Memphis.
Pili : Young kucheza upande wa kulia position ambayo sio favourable kwa Young ni kumtesa tu.
Tatu: Memphis show game nyingi mpaka anaboa sometime anahitaji kubadilika jana alikuwa kama ana hangover hivi
Nne: Chicharito yuko mbioni kwenda Germany Liverkusen kwa hali hii kweli Pale mbele tutafika Tunauza straiker halafu hakuna recruit ya forward mpya...
 
LVG ni kocha mzuri tuwe na subiri msimu huu timu yetu IPO vizuri sema WAZZA anatuangusha cjui anacheza rede kule mbele hats LVG anajua hill lkn nahisi tu kwavile no Mwingereza basis anamuonea aibu....WAZZA ndio mchawi wetu mechi muhimu km ile siyo ya kupoteza nafasi 3 au 4 za kufunga labda ana KIPINDUPINDU

Mkuu Rooney hana tatzo, kila mchezaji hua anapanda na kushuka, kikifika kipindi cha kushuka hata mchezaji mwenyewe anakua hana jinsi hapo kocha ndio anatakiwa achezeshe akili yake, kwa kiwango cha Rooney cha saiz najua ata akiwekwa benchi hata maindi, van gaal analazimisha Rooney aonekane bora wakati kiwango chake kimeshuka, depay Jana alichoka kuanzia dk ya 70 lakini van gaal hakuliona hilo akalazimisha acheze dk zote, nafikiri Jana tumeona kwamba blind sio CB, hadi kufikia dk ya 60 hakuna tackle yyte iliyofanywa na beki zetu na ikafanikiwa.

Welbeck
RvP
Falcao
Di maria
Wote wameondoka hamna replacement saiz zamu ya chicha anaenda Leverkusen sijui kama kuna replacement yyte itakayokuja, in fact hatuna kocha nina uhakika hii timu akipewa giggs itafanya vzri kuliko hili lizee,
 
Hivi LVG hana plan B nyingine zaidi ya kutumia long ball Kwa Fella..au mimi huwa sielewi?
Tangu last season Plan B yake ni hii sijawahi ona tumefungwa halaf tukafight kwakutumia Plan B nyingine

Mkuu Rooney hana tatzo, kila mchezaji hua anapanda na kushuka, kikifika kipindi cha kushuka hata mchezaji mwenyewe anakua hana jinsi hapo kocha ndio anatakiwa achezeshe akili yake, kwa kiwango cha Rooney cha saiz najua ata akiwekwa benchi hata maindi, van gaal analazimisha Rooney aonekane bora wakati kiwango chake kimeshuka, depay Jana alichoka kuanzia dk ya 70 lakini van gaal hakuliona hilo akalazimisha acheze dk zote, nafikiri Jana tumeona kwamba blind sio CB, hadi kufikia dk ya 60 hakuna tackle yyte iliyofanywa na beki zetu na ikafanikiwa.

Welbeck
RvP
Falcao
Di maria
Wote wameondoka hamna replacement saiz zamu ya chicha anaenda Leverkusen sijui kama kuna replacement yyte itakayokuja, in fact hatuna kocha nina uhakika hii timu akipewa giggs itafanya vzri kuliko hili lizee,


Hamna kocha hapooo...! Timu imefunga goli moja,mpinzani kashachoka,kakubali kipigo bado kocha hajui cha kufanya!! Timu inapoteza intensity,organization bado kakaa tu anaangalia!! Wachezaji zaidi ya mmoja wana lose focus bado hachukui majukumu! Mwisho wa yote anamuingiza Fellaini ili apigiwa mpira wa juu!!!!
 
LVG hata akimnunua Messi hatafanya chochote! Ni wachezaji pekee ndio watambeba ila sio kwa uwezo wake!

Na kwa jinsi anavo wa-treat wachezaji sijui kama kuna moyo wa kujitoa kwa timu, kwa saiz hakuna mchezaji yyte superstar atakae taka kuja kucheza utd iliyo chini ya van gaal, alikua di maria, kaja van persie, de gea, valdes kulikua na haja gani ya kumuondoa van persie kama huna lengo LA kuleta mbadala?
 
Manchester United striker Javier Hernandez has joined
Bayer Leverkusen in a £12million deal.
 
kuna vitu vya kuchekesha sn pale man utd chini ya van gaal!! kiuhalisia jamaa anaangalia udugu sn!! mi sioni sababu ya blind kucheza CB wakati mtu km rojo yupo nje ""hana mechi fitness""according to lvg!! kisa hakucheza pre season, je mess,neymar hawa wote wanacheza bila shida na walikuwa na rojo!! rojo+smalling hiyo ndo beki!! lvg!! leo hii nasoma taarifa nackia anthony martial wa monaco 19years, kwa paun mil43, huu ni upuuzi mkubwa kwa lvg

Hiyo taarifa ime link Jana mkuu, na Monaco walichosema ni kwamba wanataka hizo £43 mill + rojo kwa mkopo, LA sivo van gaal achape lapa, dogo mwenyewe ana miaka 19 unproven player japokua nilimuona kwenye play off za uefa ni mzuri lakini si kwa thamani hiyo na Monaco ni moja ya timu ngumu sana ku- bargains kwahyo sioni lolote kutokea hadi kufika leo saa 6 usiku tutajua hatma ya Dave
 
Back
Top Bottom