Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa maana hiyo unataka kusema tutakuwa ready kusubiri huyu Dogo Aimproved akiwa Man U....Je vipi kuhusu wakina Welbeck....Chicharito.....na wengine ambao walihitaji muda huo

Nadhani ndivyo hivyo sasa ana maana gani kumleta huyo...Mimi naona tu hao kina Welbeck na Chicha LVG hakuwapenda tu,Chicha juzi kukosa Penalty tu kwa game tuliyoshinda povu likamtoka kwamba awe huru kuondoka wakati baba Kai kila siku anakosa nafasi za wazi na anasema let's wait goals will come!!! Shwaini kweli huyu!!!!!
 
Usiniambie deal clossed? .......kuna mahali nilisoma nusura nizimie eti 60M + Rojo........

Yaah dogo tayari...

Craig Norwood mpiga picha wa United amesema tayari 36M pauni na dogo ameruhusiwa na FFF kuacha kambi kuja Manchester kwa ajili ya medical na usajili
 
WE DONT WANNA WORK WITH ANY KID OR SUPERSTAR ambae hayuko tayar kw kaz. Mliona tulimuuza demario. Aende zake. We dnt need a fu.c.k ambae atakaa mbele kama anavyokaa runi. Runi bahat yak nzur, anamambo meng ktk timu.

Van pase is faking kule uturuk tuliona anatuwekea mawenge. Na sas runi alitaka ile namba lakin ana hatar kukosa pa kucheza tukipata supa namba 9. Its tru luzvan lage anatupotezea kitu adimu cha mantd winning spriti zile injadi minutes. kitu ambacho amekileta bastan shontitaiga na huyu kiungo kisheti, herera na huyu mkabaji. wanatosha kufanyakaz. ya hatari.
 
Yaah dogo tayari...

Craig Norwood mpiga picha wa United amesema tayari 36M pauni na dogo ameruhusiwa na FFF kuacha kambi kuja Manchester kwa ajili ya medical na usajili

Ooooohhh!!! My Gosh!!! Monaco wametuweza mweeeeee 36M?????........kuhusu kuacha kambi hapo nimepaona ila nikapotezea nikajua rumours tu......kweli hiiii ni Surprise!!!!
 
Kapicha kamoja tu hako mnisamehe.....

Wapi RRONDO?, kuna siku na yeye mmmmmmmmh

Unafikiri uongo basi linatisha kweliiiii!!! Na ndo hivyo tena Mara zote tatu ni mbili moko hatubishani katika hilo.
 
Last edited by a moderator:
Hatuna kocha mkuu....Huyu LVG hakuna kitu kabisaa.

Nasubiri Nzi, DonDonald, herrera, Belo to concur na usemayo. Btw summer ya mwaka jana nina uhakika ulikuwa unasema tofauti na uyasemayo sasa. Palikuwa na vigelegele, vifijo na ngoma za kila kabila LVG aliposaini mkataba kubadilisha mawazo ya kwenda Spurs na kuja Manchester United. Msimu huu asipowaweka katika nafasi ya kugombea ubingwa ataharakishwa ku-retire then mwenye timu Giggs atachukuwa mikoba na kuwarudisha nafasi yenu ya 7 hahahaha.
 
Level za Fargie huyu LVG hajafika kabisa... Academy product zote anaziuza wakati mwenzie Alikuwa anatesa na hao hao....kusema ukweli huyu mzee anaipoteza philosophy na transfer policy ya club. Mpka sasa ameshanunua zaidi ya nusu Xi eleven yake....still bado mapungufu yapo.

yaani kwa mwaka huu inamanisha mchezaji tutakae kua nae kutoka academy atakua ni Pereira tu na Johnstone ambaye atakua chaguo LA tatu endapo de gea hataondoka kufikia kesho, huyu dogo ni RW/CF lakini sitashangaa van gaal akimchezesha RW na Rooney kama CF na mata akamuweka benchi wakati huyu dogo ndio anatakiwa acheze kama CF, yaani ndani ya wiki moja tunampoteza chicha, januzaj, Blacket, na inawezekana na de gea alafu tunaingiza kinda wa miaka 19.
 
Nasubiri Nzi, DonDonald, herrera, Belo to concur na usemayo. Btw summer ya mwaka jana nina uhakika ulikuwa unasema tofauti na uyasemayo sasa. Palikuwa na vigelegele, vifijo na ngoma za kila kabila LVG aliposaini mkataba kubadilisha mawazo ya kwenda Spurs na kuja Manchester United. Msimu huu asipowaweka katika nafasi ya kugombea ubingwa ataharakishwa ku-retire then mwenye timu Giggs atachukuwa mikoba na kuwarudisha nafasi yenu ya 7 hahahaha.

100% naungana na RRONDO hapo juu, nilikua namatumaini nae sana lakini kwa sasa sina neno am speechless
 
Last edited by a moderator:
Waliobaki kwenye kikosi chetu cha 2012/2013

CNvUGabWoAAN0td.jpg
 
Huyu jamaa wenu balaa kinoma. Dogo wa miaka 19 afu ni foreigner ananuliwa kwa pesa nyingi zaidi ya Arsenal walizotoa kumpata Sanchez. Nani alisema Mzaramo hawezi kuuziwa mbuzi guniani mtaa wa Congo?
Huyu Kocha anazeeka na mwazo yako sio bure Anawatoa mateenagers kwa mkopo au kuwauza kabisa halaf anaeleta immature kwenye timu hiyo...
 
Nasubiri Nzi, DonDonald, herrera, Belo to concur na usemayo. Btw summer ya mwaka jana nina uhakika ulikuwa unasema tofauti na uyasemayo sasa. Palikuwa na vigelegele, vifijo na ngoma za kila kabila LVG aliposaini mkataba kubadilisha mawazo ya kwenda Spurs na kuja Manchester United. Msimu huu asipowaweka katika nafasi ya kugombea ubingwa ataharakishwa ku-retire then mwenye timu Giggs atachukuwa mikoba na kuwarudisha nafasi yenu ya 7 hahahaha.

Mimi huwa nasuport kocha yeyote atakayetua but msimu huu ni do or die kwa LVG ,sidhani kama ana kisingizio
 
Mimi huwa nasuport kocha yeyote atakayetua but msimu huu ni do or die kwa LVG ,sidhani kama ana kisingizio

Wachezaji bado hawajaelewa philosophy yake hasa Rooney, Smalling, Mata, Fellaini. Huwa inachukuwa miezi 3 kwa LVG kuonyesha vitu vyake katika kila timu anayokochi. Ndio kaanza kazi jana tu, mechi ya 4 mnaanza kumwagia mafuta ya taa. Vumilieni bana. Mnashindwa na Arsenal na Liverpool tulio na uvumilivu miaka nenda rudi.
 
Wachezaji bado hawajaelewa philosophy yake hasa Rooney, Smalling, Mata, Fellaini. Huwa inachukuwa miezi 3 kwa LVG kuonyesha vitu vyake katika kila timu anayokochi. Ndio kaanza kazi jana tu, mechi ya 4 mnaanza kumwagia mafuta ya taa. Vumilieni bana. Mnashindwa na Arsenal na Liverpool tulio na uvumilivu miaka nenda rudi.

Rooney anahitaji challenge au mtu wa kucheza nae, tuna tatizo la striker why amekaa kimya anasubiri deadline day
 
Wachezaji bado hawajaelewa philosophy yake hasa Rooney, Smalling, Mata, Fellaini. Huwa inachukuwa miezi 3 kwa LVG kuonyesha vitu vyake katika kila timu anayokochi. Ndio kaanza kazi jana tu, mechi ya 4 mnaanza kumwagia mafuta ya taa. Vumilieni bana. Mnashindwa na Arsenal na Liverpool tulio na uvumilivu miaka nenda rudi.

Sisi hatuwezi kuivumilia ndoa aisee!!!!.....
 
Valencia assistant manager Phil Neville: ‘I
experienced Anthony Martial first hand
when we played against Monaco recently.
He played brilliantly and looks a top
player. If he were to sign, he would be an
excellent late addition to the Manchester
United squad’
 
HERE WE GO AGAIN:
marca wanalipoti kuwa utd na madrid wameshakubaliana deal la de gea, now kinacho endelea ni deal la narvas kuja ot ILA ni deal mbili tofauti, de gea is over now its all about Narva's,
utd walikua wanataka €40 mill lakin Madrid wametoa 35 mill,
 
Back
Top Bottom