Manda
JF-Expert Member
- Sep 24, 2007
- 2,071
- 306
Well said. On addition to tht, base on facts, mchezaji akishakuwa na yellow card bears some kind of protection from the ref asipewe another yellow kwa incidence inayofwata, at least akicheza faulo mbili, thts why we normally sees refs wanakuwa wanamhesabiwa na kumwambia kuwa 'ukicheza nyingine, nakulamba njano/red moja kwa moja'.Hivi we wacha uliangalia mechi kweli? Rafael hakuwa na intention ya kumfanyia foul mchezaji, hizo sheria ulizopost ni general guidlines do they cover accidents kama iliyotokea kwa Rafael? No. Eti huo ndio unaita ushahidi wa kujustify ya kadi aliyopewa gtfoh, tuwekee instant replay from both angles(ushahidi) otherwise stick kwenye kucopy and paste habari na picha za the sun.
Dd Rafa get tht chance?, no, i dont thnk so.