Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mbona siku zingine huwa wapo wanaangalia mechi na bado tunakua tunaona comment humu??? what difference does it make????

sio siku zote ziko sawa..sometimes watu wanataka waenjoy game bila hii hullabaloo ya kujibu posts za kwenye forum.
 
Leo Dimitar Berbatov is just killin it, third hat-trick of the season
 
Hongereni sana Watani.....5????? Hapa dogo ndo ananijulisha kuwa Man U kesha mchapa mtu Kongoro...... HONGERENI SANA....
 
This was a Brilliant, Perfect and excellent display from Gunnerz.....hii statistics tu inaonyesha how good we were in this game.....Shonts on Target 15-1 and shorts off Target ni 9-1......SWAFI sanaaaaaaaaaaaaaaaa....................Happy...HAPPY.....happy............HAPPY........
 
Hongereni Watani, tupo nyuma yenu kwenye kona hapa tunasubiri njia tambarare tuovateki
 
MANUSPLASH2_1235156a.jpg



Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee baada ya kutolewa
kamasi St. Andrews naona leo mmepata mdondo khe khe kheeeeeeeeee

Hongereni wapinzani.
 
MANUSPLASH2_1235156a.jpg



Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee baada ya kutolewa
kamasi St. Andrews naona leo mmepata mdondo khe khe kheeeeeeeeee

Hongereni wapinzani.

Jana tumelipiza goli la kimafia walilotufunga St. Andrew.
 
Good perfomance from Vidic,Fabio,Oshea,Smalling,Anderson,Giggs,Rooney na Berbatov.Itabidi Giggs aendelee kuongezewa mkataba wa mwaka mmoja mmoja halafu huyu Fabio nae wa ukweli
 
The last player to score 3 hat-trick wa Ruud Van Nistelrooy, Berbatov msimu huu naona bado ana hat-trick zake nyingine 2
 
Hongereni Watani, tupo nyuma yenu kwenye kona hapa tunasubiri njia tambarare tuovateki
Hehehe wajuba mna hasira ila february/march wakati mechi zapile up uwa mnapoteza grip.
 
Waungwana vipi hii story ya Qatari royals na kuweka bid ya kununua timu kwa 1.5 bil dollars?
 
Waungwana vipi hii story ya Qatari royals na kuweka bid ya kununua timu kwa 1.5 bil dollars?
Kazi ipo apo, waarabu na mpira wap na wap?, awa jamaa na hela zao za mafuta soon or later watatuoa. :disapointed::disapointed::shock:
 
Good perfomance from Vidic,Fabio,Oshea,Smalling,Anderson,Giggs,Rooney na Berbatov.Itabidi Giggs aendelee kuongezewa mkataba wa mwaka mmoja mmoja halafu huyu Fabio nae wa ukweli

Kwenye mediocre teams, onea duji! khe khe kheeeeeeeeee

dah nipeni raha manchester utd kwan cjaona timu nyingine adi ntakapokifa i swear it

Chacha njomba ungeiona timu nyingine wapi?

I always think Berbatov is one of football geniouses

Continue to think.

Hehehe wajuba mna hasira ila february/march wakati mechi zapile up uwa mnapoteza grip.

Mkuu mwezi wa Jan na Feb ndio kiboko. Jan imevunja rekodi tuna mechi 9 wakati March ni mechi nne tu sasa sijui kwa nini unawaza March labda kwa sababu ndio mnacheza na Cheksick vipi butterflies wanaanza kucheza? Khe khe kheeeeeeeeeeeeeee.

Waungwana vipi hii story ya Qatari royals na kuweka bid ya kununua timu kwa 1.5 bil dollars?

Thats another front for you guys happy days.




article-0-0CDDA0A8000005DC-365_634x465.jpg


Wine Roomey analia hajafunga goli Old Trafford .... ...

khe khe kheeeeeeeeeeee
 
Wacha1 Hata hao vijana wa Mr Bean tuliwapiga goli 6
 
haya tena jamani tumerudia zile dozi zetu kama kawa....man utd 4 sunderland 0!!!thanx to rooney,ronaldo na saha leo kaja na two by two...we are on top kwa masaa machache

sisi man u, hizo ndiyo zetu!
 
Hivi we wacha uliangalia mechi kweli? Rafael hakuwa na intention ya kumfanyia foul mchezaji, hizo sheria ulizopost ni general guidlines do they cover accidents kama iliyotokea kwa Rafael? No. Eti huo ndio unaita ushahidi wa kujustify ya kadi aliyopewa gtfoh, tuwekee instant replay from both angles(ushahidi) otherwise stick kwenye kucopy and paste habari na picha za the sun.
 
Back
Top Bottom