everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Nasali sana, De Gea aondoke hapo, ikifika 2nd september hajaondoka, ntaumia sana..hope Madrid can Pull this up..
De Gea hata akiondoka leo The United itaendelea kuwepo, hakuna pengo lake, mimi nadhani ungefurahi zaidi angekuja kuondoka kwa free ndo ungepata la kuongea........ nakuona msimu mpya umekuja kwa kasi na Man U Ngoja nitamtafute mkali wenu huyu ndo anawaweza wazee wa YNWA.......... Nzi njoo kipande hii sikuhizi MosDef anasumbua sana Jamvi hili....lol
Last edited by a moderator: