Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

CH 14 aaseh daah huyu mzee mkatili

Sioni dalili kama atacheza leo....

Mechi nyingi za Utd siku hizi shot on goal zinakuwa 1 zikizidi sana 3 {mpaka sasa shot on goal ni 1 inakwenda dakika ya 70}

Rafael alisema kuhusu kitu/tatizo la LVG..... ninahisi kuna ukweli fulani
 
Sioni dalili kama atacheza leo....

Mechi nyingi za Utd siku hizi shot on goal zinakuwa 1 zikizidi sana 3 {mpaka sasa shot on goal ni 1 inakwenda dakika ya 70}

Rafael alisema kuhusu kitu/tatizo la LVG..... ninahisi kuna ukweli fulani
Hizo dalili nilishaziona sub atakayofanya sana sana ni Darmian na wakat tunahitaji goli lingine kukill hii gemu
Anyway yeye ndie kocha mamuzi yote kwako
 
Back
Top Bottom