xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,077
- 5,918
Opinions are like assholes, everybody has
one.
De Gea anaingia kwenye reli ya LVG,Madrid walimdanganya now asipoangalia atasugua sana benchi.Kwangu nakubaliana na LVG, Madrid walijua watamchukua kiulaini bora aondoke bure next season
DeGea angesign mkataba mnono na united ili madrid wakimtaka watoe hela ndefu.
Kila mtu anapata faida, hii ya kugoma kusign mkataba mpya. Sijaiafiki.
Binafsi naona bora aondoke tu, japo alikuwa msaada wetu sana.
Naona De gea kawa kama kina Adebayor, Reyes, RVP walivyofanya Arsenal. Utakuta akienda Madrid atacheza msimu mmoja au miwili then watamtosa kama wachezaji wengine.
I said it before,your obsessed with UNITED....Nafurahi kuona mtu wa Liverfool anavyotufatilia Team yetu.
Ata mimi namshangaa uyu dogo maana sehemu nyingi wachezaji hasa akiwa anathaminiwa ktk club hiyo uwa wanafanya hivyo lakini naona tofauti sana kwa uyu dogo utadhani alikua athaminiwi vile
Huyo yaelekea kajihifadhi Chelsea kwa sasa ili kujiliwaza,you can see the way he defends them.Ndio maana mashabiki wa Chelsea tumewapa jina la 'rent boys' yaani 'wapangaji' wakati wowote wanaweza kuhama.
Frans Hoek [Uniteds goalkeeper
coach] has a meeting with David de
Gea and he asks him, Do you want to
play?  said Van Gaal.
Quizzed on De Geas response, Van
Gaal said the goalkeeper said no.
United later clarified that the Spanish
keeper was not eager to play because
of the situation and because he was
not 100 per cent focused due to all the
rumours surrounding him.
Explaining the predicament he was
in, Van Gaal said: Then I have to
take the decision. It is a process. We
had been observing him in
preparation. He was not so good, he
was not the same David de Gea as
before. He was my best player last
season. According to the fans, he was
the best of the last two years.
But Van Gaal, who picked the
Argentine Sergio Romero in goal
against Tottenham Hotspur on
Saturday, says the door will be left
open for De Gea to return.
He was fully agreed with our
decision. I have one assistant coach
and another assistant coach so we
speak about that kind of thing. We
have a goalkeeping coach. Im not
doing everything alone.
That depends on Romero also and his
form. It is always like that, Van Gaal
said. [At the moment] It is the same
situation. He remains out of the
squad. Normally yes, Sergio Romero
stays in goal.
Hahahahahahahahahahahahaha
View attachment 276213