Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Future ya de gea sio certain. Hadi sasa hajasign mkataba mpya, kwahyo its more or less anaondoka iwe isiwe.
Tulikuwa tunahitaji kipa mwenye uzoefu.
ngoja tusikilizie kwanza
Future ya de gea sio certain. Hadi sasa hajasign mkataba mpya, kwahyo its more or less anaondoka iwe isiwe.
Tulikuwa tunahitaji kipa mwenye uzoefu.
"Its not a football move, its a lifestyle move. It tells me the player is weak and his wife runs his life" Roy keane on Di maria
Munure Utd fans LOL..
Hiyo kauli Keane aliitoa wakati yupo Sunderland...hajasema chochote kuhusu DI MARIA..
View attachment 271516
Roy Keane sees red again with outburst about Wags and their shopping jaunts | UK news | The Guardian
najua huwezi kuishi bila kufuatilia man utd....unajua kila kitu kuhusu man utd in details kuliko some man utd fans!!!!
![]()
the list is darn tooooooooooo long; Ramos, Bale and half of Europe is on the continuing list.
Baada ya kuhama United ndio amekuwa your Hero?
![]()
the list is darn tooooooooooo long; Ramos, Bale and half of Europe is on the continuing list.
Baada ya kuhama United ndio amekuwa your Hero
Your hero is Slip G kwakuwa ameondoka unaweza kuhamia kwa Henderson au Baloteli
Scenes pale Madrid watakapotushangaza kwa DE GEA, kwenye dakika mbovu kabisa zile za deadline day...
Alipoondoka Madrid.., Madrid ilikuwa. ........?
Players come and go but Manchester will still UNITED binafsi sina tatizo na De Gea ametufanyia kazi kubwa
The good thing is You Will Never Win Again
Kwako kila anayesajiliwa na UNITED ni flop ushasema Mata, Herrera, Shaw,Blind,Falcao,Depay ni magarasa so sikushangai ila wakiondoka wanakuwa your Hero I hope hata John Evans akiondoka atakuwa hero wako
Suala siyo kuondoka, suala ni kwamba unamreplace vipi huyo mchezaji???
Kwa suala la kuhusu replacements nakukaribisha kwenye "banters club"..kama ukimreplace De Gea na Romero itabid tukupe VIP membership Card kabisa..
Yeah, coz anakuwa amefanya maamuzi sahihi ya kuondoka kwenye "the most shitiest club in the world"
Damn, i hate manchester utd man..tbh
So who we'll be replacing Di maria?? Depay??? Or Pedro (????)..
hebu tukumbushe misimu miwili au wa kwanza wa De Gea mlikuwa mnasemaje??!!