Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hongereni sana Red devils..U totally outplayed S'land.......Its 3 pts............may be gooners can do s'thin against chelsea 2mrw.......CONGRATS
 
Wale MAFIA waliofanya fitina hadi game ikahairishwa washukuru Mungu sana,timu iko kwenye momentum nzuri sana wachezaji muhimu karibia wote wako kwenye form
Rafael kwa sasa sioni RB ambaye anamzidi hapo EPL,combination ya Vida na Rio imerudi
Kwenye kiungo hapo ndio balaa Anderson yuko kwenye peak tatizo lake kwenye kufunga,Nani,Park,Giggs,Fletcher balaa tupu.Ingawa Rooney hafungi but mchango wake unaonekana
 
Halafu habari njema ni kuwa vijana wetu tuliowapeleka kwa mkopo kwenye timu nyingine wanafanya vizuri
Welbeck-Sunderland,Cleverley-Wigan
 
Kama siyo yule goalkeeper, basi Sunderland walikuwa waondoke na kapu la magoli leo. Hongereni sana
 
man-utd-splash_1213479a.jpg



khe khe kheeeeeeeeeeeeee
 
BERBSPLASH_1215402a.jpg


Nasikia mliokota tende jana wakati wengine tuko kwenye sikukuu, Duh! naona bora

muende tu kwa waarabu sasa khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
 
BERBSPLASH_1215402a.jpg



Nasikia mliokota tende jana wakati wengine tuko kwenye sikukuu, Duh! naona bora

muende tu kwa waarabu sasa khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee

Leo tunashushia kinywaji wakati mnatoana macho na muuane tu .... Hamja sherehekea vizuri kwasababu tulishinda teh teh..
 
Birmingham v Man Utd line-ups:
Birmingham: Foster, Carr, Johnson, Dann, Ridgewell, Larsson, Ferguson, Gardner, Bowyer, Beausejour, Jerome.
Subs: Taylor, Phillips, Derbyshire, Fahey, Zigic, Hleb, Jiranek.
Man Utd: Van der Sar, Rafael Da Silva, Ferdinand, Vidic, Evra, Gibson, Carrick, Anderson, Giggs, Berbatov, Rooney.
Subs: Kuszczak, Neville, Hernandez, Evans, Fletcher, Obertan, Macheda.
Referee: Lee Mason (Lancashire)
 
As I dont want Man Utd to win 2day is not as worse as I dont want to see Man City Up the Table.....So Good Luck man Utd....Wish u all three points out of it and Back to the summit of the EPL TABLE
 
"Man City can become 1st club outside Big Four to lead Premier League on 31 Dec since Leeds in 1999/2000. Man Utd and Arsenal can prevent this."
 
<p>
As I dont want Man Utd to win 2day is not as worse as I dont want to see Man City Up the Table.....So Good Luck man Utd....Wish u all three points out of it and Back to the summit of the EPL TABLE
</p>
<p>&nbsp;</p>
Tupo pamoja mkuu....
 
As I dont want Man Utd to win 2day is not as worse as I dont want to see Man City Up the Table.....So Good Luck man Utd....Wish u all three points out of it and Back to the summit of the EPL TABLE

Duuh mkuu wewe noma.Yani unamtakia kila la kheri man united ashinde kisa city anaongoza leo wakati kama man united akifungwa na sisi kesho tukishinda tunakaa kileleni?
 
<p>
Duuh mkuu wewe noma.Yani unamtakia kila la kheri man united ashinde kisa city anaongoza leo wakati kama man united akifungwa na sisi kesho tukishinda tunakaa kileleni?
</p>
<p>&nbsp;</p>
AW punguza roho mbaya mkubwa, kuna wenzako wengi wana vi element vya uManure...lol!
 
Duuh mkuu wewe noma.Yani unamtakia kila la kheri man united ashinde kisa city anaongoza leo wakati kama man united akifungwa na sisi kesho tukishinda tunakaa kileleni?

Kuna Adui na Adui zaidi, I hate Man City in my Blood vesselz. So s'thing is always Better than Nothing......Thus why i Started with " As I dont want Man Utd to Win" Beside they still have a game in Hand...Dont worry pal....Coming May Arsenal TUTANYANYUA KWAPA.....Give it time..U will see
 
Kuna Adui na Adui zaidi, I hate Man City in my Blood vesselz. So s'thing is always Better than Nothing......Thus why i Started with " As I dont want Man Utd to Win" Beside they still have a game in Hand...Dont worry pal....Coming May Arsenal TUTANYANYUA KWAPA.....Give it time..U will see

No way mkuu,hata kama unawachukia man city sio kwamba man united washinde leo hili wawe juu wakati hata sisi kesho tukishinda tunampita man city lol.man city atakuwa hapoo juu kwa masaa tu mkuu.tunacheza kesho tukishinda kesho tunampita man city .
 
Back
Top Bottom