everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Mkija kupiga porojo humu muwe na datas kidogo,sio mnaropoka tu kumbe hata magazeti hamsomi. Naamanisha magazeti yenye akili sio SANI AU KIU.
Tuangalie average age ya kila timu tuone kama man utd wanaweza kuitwa wazee,list hapo chini inaanza na timu yenye umri wa juu mpaka yenye umri wa chini
20. man city
19.crystal palace
18.qpr
17.stoke city
16.hull city
15.burnley
14.leicester city
13.west ham
12.wes brom
11.sunderland
10.chelsea
9.swansea8.everton7.aston villa6.southampton
5.arsenal
4.newcastle united
3.man utd
2.liverpool
1.tottenham
sasa man utd kaondoka RVP,32, wameingia depay 22,morgan 25,bastian 30,darmian 25 je umri wa timu utaongezeka au kupungua???!! Do the math!
Hawana lolote hawa........siyo siri usajili wa sasa umewaogopesha sana dunia yote inaongelea kuhusu Man U hivi vita vipo katika mitandao yote, mimi nashangaa kwanini uhangaike kwa usajili wa wazee si wafurahie kwamba njia yao itakuwa nyepesi wanaponda nini sasa, na watajinyonga sana msimu huu!!!!
