Unafikiri hapapendi OT? Basi tu P ndo inampeleka RM wala hamna lolote, chezea mautamu weye!!!!....... cute bplizzzzzz msaidie kaka DDG asimkumbuke yule GF wake.
Hodi humu....nimekuwa mshabiki wa Man Utd mfu kwa muda mrefu baada ya kuwa mbali kidogo na mchezo wa mpira...SASA NATAKA kufufua ushabiki wangu kupitia jukwaa hili.
Angekubali kuwa na mimi ningehamia England alafu nampa free p sitaki kijana ateseke kabisa
Carrick Kwani si ana 33 ? Bastian 30 Rooney ana 29 mkuu hao mbona vijana kabisa alafu majembe
Mzee ni kama hawezi kujishughulisha kama yule Gerald wenu
Mkuu wembee
Ni timu gani ndani ya EPL iliyowahi pata mafanikio mazuri ikiwa na kikosi cha wachezaji wachanga?
Chukulia mfano wa Arsenal.
Karibu sana mkuu jiskie uko nyumbani..... Zamu ya cute b kuleta soda mimi namuandalia chumba mgeni.
Angekubali kuwa na mimi ningehamia England alafu nampa free p sitaki kijana ateseke kabisa
Mnawachezaji wengi ndio lkn mababu matupu yamekuja kushukua kiinua mgongo😀
Milner dan15 coutinho
Kwa watto hapana lkn lazma uwapate vijna wa umri kuanzia miaka 25 mbka 28 lkn nyie wte mizee tupu kule mbeleMkuu wembee
Ni timu gani ndani ya EPL iliyowahi pata mafanikio mazuri ikiwa na kikosi cha wachezaji wachanga?
Chukulia mfano wa Arsenal.
we hope a Big result on 2015/2016 at Emaretes stedium
Mwaka huu watajinyonga wengi, fitina zimeanza kwenye usajili tu wanatetemeeeeka!!! Na bado!!!!