Mweeeeeee!!!! Umekosea jukwaa hapa ni OT siyo Emirates!!!
Lazma akosee mamy sio kwa kichapo kile tulichowapatiaga.
Unazani wanaanzaje kusahau?
Mweeeeeee!!!! Umekosea jukwaa hapa ni OT siyo Emirates!!!
Karibu mkuu .
Unatumia kinywaji gani?
GGMU
Wanaelewa majembe tulio wasijili ni balaa chezeiya van G wew...
Mnamkaribisha kwa team mbovu kma man u muone huruma
Vikongwe fc saizi man u
Mnamkaribisha kwa team mbovu kma man u muone huruma
hahahahaaa. mkuu nipo kwenye daladala unajua, nimecheka hadi watu wakanigeukia, Carrick, na Rooney wote waingeleza pamoja na akina milner na Dan lakin mbona hatujawah waona wakianzia benchi mbele ya hao jamaa zako?
Mmechukua vikongwe watupu SSA nani hapate pressure?
Mkuu wembee
Ni timu gani ndani ya EPL iliyowahi pata mafanikio mazuri ikiwa na kikosi cha wachezaji wachanga?
Chukulia mfano wa Arsenal.
Hakuna chakuogopa mkuu....na kwann iwe hivyo....mapema yote ??
Imagine tukapita hiyo stage Je huko mbele utasemaje tukikutana na magiant wenzetu....???
Vikongwe fc saizi man u
Bora siye kuliko nyie looserfool na mtazimia kabisa mkisikia Otamendi in........Ings kweli?? Ngoja na Benteke In ndo mtakapofurahi na BR wenu yaani mimi nacheka tu kwa usajili aliofanya BR. Hongera mmeanza mwanzo mzuri sasahivi #BrendanOut zinaisha na mtatulia kimya mtakuja zinduka wakati ligi imeisha mnagombana na kina Southampton nafasi ya 8 huko!!!!
Hahahaaa yenu bora ipiii?
Ata nafasi ya nne mliikosa...
Hahahaaaa poyeeeee
Na mwaka huu tutawapiga home and away
Tumechukua vijana sio mababu kma nyie man u
Benteke mlimtaka mmemkosa sabb tmu yenu mbovu firmino mlimtaka kawakataa kaja kwetu .haha haha haha mwaka huu mtakmbiana
Mumy huyu tuachane naye wameshinda huko kwenye tour yao Australia ndo maana anasumbua keshajiona bonge la superstar, tumsubiri kwenye ligi tutaheshimiana the so called vibabu vitakapomfunga ndo ataelewa somo.