hata streaming nayo imeanza kuzingua
Bado haijaanza mkuu nimeona mahali huko nje wanapochezea wana complain bado.mi nafanya live streaming, we unatumia Chanel gani? nikisikia star times wanaonesha
hata streaming nayo imeanza kuzingua
Bado haijaanza mkuu nimeona mahali huko nje wanapochezea wana complain bado.mi nafanya live streaming, we unatumia Chanel gani? nikisikia star times wanaonesha
Man U bado hachezi vizuri hususani katikati
mata naona kama hayuko fiti japo ka assist
Utakuwa uzito wa kuwa likizo labda...
Nahisi kipindi cha pili watabadilika...
Utakuwa uzito wa kuwa likizo labda...
Nahisi kipindi cha pili watabadilika...
mata naona kama hayuko fiti japo ka assist
Atakuwa hajachangamka tuu coz si walikuwa mazoezini? Sizan kama ni likizo mkuu
Hii game inaonyeshwa adi YouTube
huyu golikipa akomae hvo hvo anaweza akapata namba kwenye ligi, darmian he looks so good, tackling za kutosha
Mazoezi na mechi ni tofauti ndugu...
Mazoezi humfanya mchezaji asibweteke tu, lakini mechi hutegemea wapinzani walivyojiandaa...