mechi na club america itakuwa saa ngapi hivi
Daaah Asante momiee cute,
Nimetia miguu miwili na tayari nshakaa kigodani hapa full burudani, but uhali gani mkuu?
BACK TANGANYIKA
Shukrani sana Ever,
Nshakuonaga sehemu huko na huko nikawa najipitia hivi> kumbe ni mwenzangu kitimu kasoro kimwili..!!! Momieeeeee nimemsikia Papupi akikuagiza soda plz mwambie cute b anajua kinywaji nachotumia. Nashukuru sana kupata wenyeji wakarimu kama ninyi... oooohhhh lakini sishangai hii ndo sera makini ya Red deeeeeeeeeeeviiiiiiiiiiilllllllllll...!!!
Mkuu hebu panga kikosi cha kesho hapa.
BACK TANGANYIKA
starting XI: Johnstone,
Darmian, Jones, Blind,
Shaw, Carrick,
Schneiderlin, Young,
Mata, Memphis, Rooney
Huyu memphis ndio Depay mkuu? Na de gea haingii?
Huyu memphis ndio Depay mkuu? Na de gea haingii?
Memphis ndo depay.. then DDG, bastian n others wataingia baadae sababu tunaruhusiwa kubadili timu nzima
yah, Memphis ndio depay alisema atakua anatumia Memphis badala ya de pay maana alizinguana na baba yake, de gea nahisi ataingia cha pili maana alisema watacheza dk 45
Sawa mkuu daah mimi nimezoea depay bhana ila hamna namna.
Na wew nakutegemea cha pili ama nene. Nasikia na wew ni kipa ningependa pia kukuona.
hahahahaaa, mi in mult talented, niliwadakia mazoezini baada ya kuona wananizarau na ka mwili kangu haka
Hahahaaa mkuu mbona kwangu game haionyeshi? Au muda bado?